Lancashire JF-Expert Member Joined Sep 20, 2014 Posts 14,057 Reaction score 10,367 Jan 24, 2015 #181 bily said: dah jamaa akisoma hii post mbona atapelekwa Hindu Mandal. Click to expand... hawa jamaa wanavunja ndoa za watu mkuu.
bily said: dah jamaa akisoma hii post mbona atapelekwa Hindu Mandal. Click to expand... hawa jamaa wanavunja ndoa za watu mkuu.
L La Princesa JF-Expert Member Joined Dec 21, 2013 Posts 1,049 Reaction score 1,160 Jan 25, 2015 #182 Bondpost said: Nadhanitufike waati kuwepo ukomo wa umri wa kuitwa yatima. Jitu Zima linitwa yatima hii nadhani sio sawa kabisa. Click to expand... Ulitaka aitweje?Yeyote asiye na wazazi ni yatima,tofauti ni kuwa kuna yatima mtu mzima na yatima mtoto
Bondpost said: Nadhanitufike waati kuwepo ukomo wa umri wa kuitwa yatima. Jitu Zima linitwa yatima hii nadhani sio sawa kabisa. Click to expand... Ulitaka aitweje?Yeyote asiye na wazazi ni yatima,tofauti ni kuwa kuna yatima mtu mzima na yatima mtoto
Bondpost JF-Expert Member Joined Oct 16, 2011 Posts 7,019 Reaction score 10,455 Jan 25, 2015 #183 La Princesa said: Ulitaka aitweje?Yeyote asiye na wazazi ni yatima,tofauti ni kuwa kuna yatima mtu mzima na yatima mtoto Click to expand... Mama mzima una watoto na wajukuu unang'ang'anus eti uitwe yatima! Lakini sijamaanisha wewe #La Princesa.
La Princesa said: Ulitaka aitweje?Yeyote asiye na wazazi ni yatima,tofauti ni kuwa kuna yatima mtu mzima na yatima mtoto Click to expand... Mama mzima una watoto na wajukuu unang'ang'anus eti uitwe yatima! Lakini sijamaanisha wewe #La Princesa.
Bondpost JF-Expert Member Joined Oct 16, 2011 Posts 7,019 Reaction score 10,455 Jan 25, 2015 #184 La Princesa said: Ulitaka aitweje?Yeyote asiye na wazazi ni yatima,tofauti ni kuwa kuna yatima mtu mzima na yatima mtoto Click to expand... Hata mie sina wazazi wote wawili ila kwa umri nilionao kwa kweli kujiita yatima naona haiji kabisa. Na watoto nilionao, mie nikianza kulialia eti mie yatima then itakuwaje sasa. Kwakweli mie sio yatima bali wazazi wangu walishafariki.
La Princesa said: Ulitaka aitweje?Yeyote asiye na wazazi ni yatima,tofauti ni kuwa kuna yatima mtu mzima na yatima mtoto Click to expand... Hata mie sina wazazi wote wawili ila kwa umri nilionao kwa kweli kujiita yatima naona haiji kabisa. Na watoto nilionao, mie nikianza kulialia eti mie yatima then itakuwaje sasa. Kwakweli mie sio yatima bali wazazi wangu walishafariki.