Madam Mwajuma
JF-Expert Member
- Sep 13, 2014
- 7,071
- 6,753
hayo hayanihusu mm. Wao na raha zao mm na umaskini wangu
Singida Kaskazini ni kwa Wanyaturu, hivyo Nyalandu yupo home kwake...sema tatizo hataki kuishi nao ndiyo maana amekimbilia ArushaFaraja ndo mnyiramba! Sasa imekuwaje mnyaturu akawa mbunge wa Iramba? Si kwa wanyiramba kule?
Faraja ndo mnyiramba! Sasa imekuwaje mnyaturu akawa mbunge wa Iramba? Si kwa wanyiramba kule?
Faraja amemvumilia sana Nyalandu ila sasa amejipanga na mawakili wake kuachana na 'Kijana Wa Totoz' na atavuta mpunga mrefuu
Weropoka hapa mwenziokesho ana post insta MY RIDE OR DIE, THE LOVE OF MY LIFE! Utaumbukajeeeee!
Faraja hawezi kukubali kuachana na yule jamaa kirahisi.....ila aunty nyokooo yule daaah!!
Weropoka hapa mwenziokesho ana post insta MY RIDE OR DIE, THE LOVE OF MY LIFE! Utaumbukajeeeee!
Faraja hawezi kukubali kuachana na yule jamaa kirahisi.....ila aunty nyokooo yule daaah!!
Mpango uliopo ni kwa Aunty Ezekiel Toto la Kinyambu kwenda kujifungulia Marekani kama ilivyo kwa Faraja kwa watoto wake wawiliChezeaaaaaaa watoto wa mwananyamala ile mimba kwake ni kama jackpot bingo;yaani hawa wanaume wa kibongo nawachukia maskini faraja wa Watu na hapo sio tasa
Chezeaaaaaaa watoto wa mwananyamala ile mimba kwake ni kama jackpot bingo;yaani hawa wanaume wa kibongo nawachukia maskini faraja wa Watu na hapo sio tasa
Nyie ndo mnajua leo kuwa ndoa ipo chali, wale walishatengana vitanda miaka3 iliyopita na kwa sasa kila mtu yupo na bwanake mwingine???
Yaani inakera Sana aiseee......waangaliege wanawake wakuchukua bwana.We mtu kama aunty wa kazi gani?
Unataka kuniambia siku nyingi eeh
Acha uongo ina maana na Lazaro nae ana mwanaume wake?Yeah mm najua hili tangu 2013 na kila mtu yupo na mwanaume wake!
Acha uongo ina maana na Lazaro nae ana mwanaume wake?