Ndoa ya monicca inautesa moyo wangu

nimekumbuka ule wimbo wa enzi hizo

Monica wanisumbuaaaa ayeee
Monica wanisumbua ayee yee yee
Watu watatu walikwenda
Huko mombasa kucheza chakacha kwanza harusi ya fatuma.
Singulawi mama singula wetu sisi sote twakupenda.
 
Zamani sana
Zamani mkuu
Vijana wa miaka Hii
Hawawezi kuijua hii
NIlitoka kwako juzi
Nikitaka kukusabahi
Mamio alinijibu hayupo katoka
Nikamuuliza kenda wapi
Akasema hajui vema
Nilipita vichochoroni nakuta wakunywa chang'aa
Umekwisha potea
Wapotea mtoto mzuri kwa kunywa chang'aa
Chiruku kwa yako rangi iliniingia moyoni
Nikenda mbali sishibi nikuachapo pweke tunduni
Siku zapita sina usingizi sina furaha moyoni
Kwa nilivyo kuzoea kwa nilivyo kuzoea.
Duh waqt umekwenda sana ndugu yangu.
 
Kumbe wengi tuliumizwa na monii. Haya monii umeanzisha mjadala huku. Kuna ntu kaamua kuweka mambo hadharani. Kwa nini afwe na kigumiaaa. Tutakuchangia bro, angalao umpate weye. Mtoto mzurii halaf anajua kumsifia huyo mtu wake ka nini. Hata kumtosheleza hakuweza monii anakuja fasta atii kantosheleza. Waapi. Ungetoshelezwa ungekata nusu fungate. Fumbo mfumbie mjinga (Aliye mje ya jf) huku jf watafumbua tu. Weshafunbua.
 
Daaah kwel ndugu huu ulikuwa ni mziki mzuri sana
 
Unaweza kufanikiwa tayari ndao yao ina figusifigusi moniccca anadai anaunguzwa zile sehemu. Ikiwa wew utaweza kutumia mwanya huu vizuri umefanikiwa tayari
 
Moniccca ametoa sigle nyingine mchana wa leo, kuwa anaunguzwa sana
 
Mon huyu huyu asiyejielewa au Mon mwingine? Kuna thread kasema shah...za aliyemuoa ni za moto sana, labda ndo wakati sasa wa wew kupeleka kafriji
 
Ooh Kina mama hoyaa....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…