[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Una dhambi.
Ndoa ilivunjika kabla ya kufungua [emoji25]Siku chache baada ya ndoa bibie alisema kaolewa sababu kamuonea huruma jamaa kisa alimchuna vitu vingi
Vijana wa leo hawana mafunzo ya ndoa
Hii ndoa imemrudisha nyuma sana Shamsa Ford kikazi. She was doing very well with her career na alikuwa na kiu ya kweli ya kufika mbali lakini tangu aolewe naona akawa doro.
Kwa sasa vile yuko huru, afocus tu kwenye kazi yake na aende mbele kwa mbele. Kwanza ni motivation nzuri kwake ya kukimbia kwa spidi zote vile now she calls the shots all by herself once again.
All the best kwake. Muhimu ameshatoa gundu.
Dhuuu[emoji38][emoji38] uongo hapo ni upi? Kuna sehemu nimesema duka lilikuwa la Shamsha? Gari ni matunda ya bongo movie ya dada wa watu. Walokuwa wanajua duka la mwanzo la chid kabla halijafungwa then likahamishwa nahic wataelewa ninavyosema shamsha alikuta chid kashaanza kufulia btw mda mwingi Chid anakuwa china kutembeza wafanyabiashara akilipwa ndo alikuwa anatuma mzigo kiasi ili duka lisiwe empty
AiseeeNdio wakina nani hawa mnao wajadili kwani...!!??
Maana minaona pua kubwa tu hapo..teh!
Ndio wanaume wa sasa walivyo wotee.
lazima ukubaliane na mabadiliko ya wakati chief. Privacy ilikuwa wakati wenu. Unachokiona ndicho cha wakati huu . Ishi kilingana na wakati. Usilazimishe wala kushindana na wakati utaaibika mzee wa mitishamba.Wazee wetu wa zamani ni tofauti kabisa na hawa vijana wa kileo.... Hawajui nini maana ya privacy... Kila kitu mitandaoni... Kuna mahali tutafika mtu akienda kukata gogo atapost
Baba yangu kafaga siku nyingi sana .say sorry for your dad
Asante sana kwa ushaurilazima ukubaliane na mabadiliko ya wakati chief. Privacy ilikuwa wakati wenu. Unachokiona ndicho cha wakati huu . Ishi kilingana na wakati. Usilazimishe wala kushindana na wakati utaaibika mzee wa mitishamba.
ohoooo π€ ππ
Sidhani kama kuna msanii yeyote hasa wa bongo movies kama amewahi kudumu kwenye ndoa mpaka kifo kiwatenganishe. Binafsi nishawazoea. Kesho na kesho kutwa utasikia kaolewa na Dogo janja halafu baada ya siku 19 utasikia wameachana!
Hujui watoto ni zawadi kutoka kwa Mungu?Ameyaleta kwenye mtandao ili wambea tujadili mkuu.
Mambo ya cd4 tena
Hivi Riyama hajazaa?Hili nalo ni tatizo kwenye ndoa nyingi, sema na hawa ma star hawapendi kuzaa japo wanapenda kuolewa,
Angalia shilole, riyama, uwoya, sister fey hawa wote waliolewa kwa ndoa lakini waligoma kuzaa. Siamini kama wote ni uzazi.