Karucee
JF-Expert Member
- Mar 11, 2012
- 18,155
- 34,303
Ni kutojielewa tu role kama mke na kama mama.wanawake masupastaa yataka moyo sana kuwa handle nahisi watakuwa wanaelemewa na umaruufu wao.
The man is the head of the family even if you as the woman are the breadwinner.