Ni kutojielewa tu role kama mke na kama mama.wanawake masupastaa yataka moyo sana kuwa handle nahisi watakuwa wanaelemewa na umaruufu wao.
Kidhungu chako yataka kipaji kukielewa, ila sawa.Ni kutojielewa tu role kama mke na kama mama.
The man is the head of the family even if you as the woman are the breadwinner.
Hilo jina tu huyu wa kukamata vinuka mkojo tu,siku nilikatiza pale kwa duka lake Meridian nikamkuta,ufala mwingi sana "ooh karibu kaka kwa chid mapenzi,nikamuuliza unataka utobolewe?aah amna bro sema tu pamba tunazo.akiangalia nilikua nimepiga diesel jeans ngumu,Abercrombie t shirt,chini nna adidas nba sign.vyote bongo hupati akanywea.Mwanaume ana sura ngumu kama mchoma mahindi,sijui kapenda nn hapa
1. PesaSijui wanawake wanapenda nini.
Hivi ukiandika lugha moja unakuwa hauelewei?Hata angezaa people would still find fault why amezaa.
Am speaking as a woman, huenda anapoingia ndani ya ndoa her intuition spoke to her to chill out na asikimbilie kuzaa. Either that or simply hakushika ujauzito.
Wanasemaga once bitten, twice shy. Picture being single again, stuck with another child.
Nataman kujua star ambaye ndoa yake imedumu at least 6 yrsHasa zile za mbwembwe nyiingi. Za kimya kimya huwa zinadumu
😂😂😂😂😂 maisha yenyewe yameshakuwa magumu kwanini ukatae?kwahiyo ukihongwa na mwanamke ukatae..?
😂😂😂😂😂 maisha yenyewe yameshakuwa magumu kwanini ukatae?kwahiyo ukihongwa na mwanamke ukatae..?
Suala la kusomana ni suala endelevu ndio maana unaona watu wanashindwana ikiwa tayari wako ndani ya ndoa. Hauwezi kujua kila kitu kinachomuhusu mtu kwa haya mahusiano ya kawaida tu. Kwanza wengi hufekisha ili kutimiza lengo, baada ya hapo ndio mtu anaanza kuwa real then unarealize hauwezi kuvumilia mapungufu hayo.
Ni star wa Instagram..(in star gram)Hivi sister fey ni star? Hapana buana huyu kila siku tunapishana nae kisalawe
Sio kweli Shamsa alimpenda Sana jamaa ila ni maisha tuDuh! Kumbe jamaa alihurumiwa tu? Kazi kweli kweli!
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] dahMi tangu nimeoa washkaji wananimiss kwenye vikao vya bia. Najikaza kisabuni tu na kiu yangu, maana nikipaga bia tu Mama Gaude anadai nimelewa. Mlio single bora muenjoy sasa hivi, mkiingia huku ujue mshatekwa.
Oook,,nilikua sioni kila nikiwazaWapo hasa ile product ya zaman kaole,mambo hayo mfano jb,dr cheni,richie,
Mi tangu nimeoa washkaji wananimiss kwenye vikao vya bia. Najikaza kisabuni tu na kiu yangu, maana nikipaga bia tu Mama Gaude anadai nimelewa. Mlio single bora muenjoy sasa hivi, mkiingia huku ujue mshatekwa.