katoto kazuri
JF-Expert Member
- Feb 10, 2018
- 6,124
- 5,745
Mzima muzee wa mjiniSawa nimekuelewa..
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mzima muzee wa mjiniSawa nimekuelewa..
[emoji38][emoji38] uongo hapo ni upi? Kuna sehemu nimesema duka lilikuwa la Shamsha? Gari ni matunda ya bongo movie ya dada wa watu. Walokuwa wanajua duka la mwanzo la chid kabla halijafungwa then likahamishwa nahic wataelewa ninavyosema shamsha alikuta chid kashaanza kufulia btw mda mwingi Chid anakuwa china kutembeza wafanyabiashara akilipwa ndo alikuwa anatuma mzigo kiasi ili duka lisiwe emptyacha uongo duka la nguo lilikuwa la chidi.,, shamsa alinunuliwa na gari kabisa, asingekubali kuolewa na mwanaume hana hela
Nakubaliana na wewe.Hata angezaa people would still find fault why amezaa.
Am speaking as a woman, huenda anapoingia ndani ya ndoa her intuition spoke to her to chill out na asikimbilie kuzaa. Either that or simply hakushika ujauzito.
Wanasemaga once bitten, twice shy. Picture being single again, stuck with another child.
aliesababisha afulie ni shamsa amemchuna sana chidi , nani kakudanganya alikuwa anatembeza wafanyabiashara china,?[emoji38][emoji38] uongo hapo ni upi? Kuna sehemu nimesema duka lilikuwa la Shamsha? Gari ni matunda ya bongo movie ya dada wa watu. Walokuwa wanajua duka la mwanzo la chid kabla halijafungwa then likahamishwa nahic wataelewa ninavyosema shamsha alikuta chid kashaanza kufulia btw mda mwingi Chid anakuwa china kutembeza wafanyabiashara akilipwa ndo alikuwa anatuma mzigo kiasi ili duka lisiwe empty
[emoji23] [emoji23] [emoji23]Ndio wakina nani hawa mnao wajadili kwani...!!??
Maana minaona pua kubwa tu hapo..teh!
Hahahaha kumbe
Acha ivunjike tuu, ndoa tangu imefungwa hamzalii mume anategemea nini.
Raha ya ndoa ni KUZAA na siyo kwenda kulea mtoto wa mke wako uliomkuta naye. Mdomo koma
Acha ivunjike tuu, ndoa tangu imefungwa hamzalii mume anategemea nini.
Raha ya ndoa ni KUZAA na siyo kwenda kulea mtoto wa mke wako uliomkuta naye. Mdomo koma
Makusudi Shem. Hauoni ndiyo mtindo wao mpya? Wanaolewa na viben10 halafu wanagoma kuzaa.Shem kuzaaa ni majaaaliwa ya maulana. Au alikuwa anafanya makusudi?
Hivi sister fey ni star? Hapana buana huyu kila siku tunapishana nae kisalaweHili nalo ni tatizo kwenye ndoa nyingi, sema na hawa ma star hawapendi kuzaa japo wanapenda kuolewa,
Angalia shilole, riyama, uwoya, sister fey hawa wote waliolewa kwa ndoa lakini waligoma kuzaa. Siamini kama wote ni uzazi.
Sijui wanawake wanapenda nini.Ndio wakina nani hawa mnao wajadili kwani...!!??
Maana minaona pua kubwa tu hapo..teh!
Wabongo nawagawa buure! Shurti kumbatiza kaka wa watu jina la "nyampua" 🙈Ndio wakina nani hawa mnao wajadili kwani...!!??
Maana minaona pua kubwa tu hapo..teh!
Hivi star maana yake siyo mtu maarufu?Hivi sister fey ni star? Hapana buana huyu kila siku tunapishana nae kisalawe
Wazee wetu wa zamani ni tofauti kabisa na hawa vijana wa kileo.... Hawajui nini maana ya privacy... Kila kitu mitandaoni... Kuna mahali tutafika mtu akienda kukata gogo atapostNdoa ya Muigizaji wa Bongo movies Shamsaford na Chidd Mapenzi imeingia doa, kisa na Mkasa Bado Hakijawekwa Wazi..
Chanzo cha habari Shamsa mwenyewe kama inavyoonekana pichaniView attachment 1099297
Hapa akimjibu shabiki wakeView attachment 1099302
Wazee wetu wa zamani ni tofauti kabisa na hawa vijana wa kileo.... Hawajui nini maana ya privacy... Kila kitu mitandaoni... Kuna mahali tutafika mtu akienda kukata gogo atapost
Naomba nijigawe kwako bure....teh!Wabongo nawagawa buure! Shurti kumbatiza kaka wa watu jina la "nyampua" [emoji85]