Ndoa ya Msanii Shamsa Ford na Chid Mapenzi yavunjika rasmi

Ndoa ya Msanii Shamsa Ford na Chid Mapenzi yavunjika rasmi

Hili nalo ni tatizo kwenye ndoa nyingi, sema na hawa ma star hawapendi kuzaa japo wanapenda kuolewa,
Angalia shilole, riyama, uwoya, sister fey hawa wote waliolewa kwa ndoa lakini waligoma kuzaa. Siamini kama wote ni uzazi.
Kwa michezo yao ni vigumu sana kupata mimba mkuu
 
Mwanaume ana sura ngumu kama mchoma mahindi,sijui kapenda nn hapa
unataka awe na sura laini laini sio!!? sifa ya mwanaume ni sura ngumu na pesa huo ndo uanaume.sasa akiwa na sura laini tutashindwa kutofautisha maana wote mtaonekana wanawake tu
 
Ila jamaa ana Sura ya "Hustling" kakosea tu kuingia kwenye anga za "Kibongo muvi"....

Angalizo: Naomba muiache hiyo "Pua" ya mzee baba ni "mbantu" mwenzenu huyo bila shaka physical features za Wabantu mwazijua vyema.
Sura ngumu bado unataka kulelewa?
 
Paja lake tu mimi hoi....
shamsa.jpg
Paja la kupigia nyetto
 
Hilo jina tu huyu wa kukamata vinuka mkojo tu,siku nilikatiza pale kwa duka lake Meridian nikamkuta,ufala mwingi sana "ooh karibu kaka kwa chid mapenzi,nikamuuliza unataka utobolewe?aah amna bro sema tu pamba tunazo.akiangalia nilikua nimepiga diesel jeans ngumu,Abercrombie t shirt,chini nna adidas nba sign.vyote bongo hupati akanywea.
Sema nikachukua nguo kadhaa za kubadili maana kurudi hm soo.
Sasa Huyo ndio shamsa kamfanya mume.
we kweli babu kijana.ngoja nitafute hizo jeans za diesel na t shirt za marekani
 
Back
Top Bottom