Camilo Cienfuegos
JF-Expert Member
- Apr 23, 2015
- 18,960
- 67,654
Apewe tena ukuu wa wilaya Jamani mbona kumsahau hivi Mwanahabari mwenzetu 😊😍😍Mwanahabari mkongwe na aliyepata kuwa Mkuu wa Wilaya enzi ya awamu ya nne, mama Betty Mkwasa na mumewe Charles Boniface Mkwasa yafikia miaka 35.
Charles Boniface Mkwasa mchezaji na kocha wa zamani alioana na Betty mwaka 1990 na wawili hao wamejaaliwa watoto kadhaa.
Vijana wa zama hizi tunafeli wapi kwenye ndoa zetu? Tutumie mfano wa ndoa hii kama sehemu ya kuvumiliana kwenye changamoto mbalimbali.
View attachment 3204476
Kwahiyo kati yao nani amekubali kuwa mjinga?Mmoja akikubali kuwa mjinga, ni kifo tu ndio kitawatenganisha
YEyote tu kati yao, so watu wao wa karibu ndio wanafahamu zaid nani kajifanya mjinga. Mimi sijuiKwahiyo kati yao nani amekubali kuwa mjinga?
Apewe tena ukuu wa wilaya kwa sababu ni mwanahabari au kwakuwa ndoa yao imefikisha miaka 35?Apewe tena ukuu wa wilaya Jamani mbona kumsahau hivi Mwanahabari mwenzetu 😊😍😍
Uncle,sherehe yao nilihudhuria.Nice
Mbona hueleweki mkuu,inatakiwa mmoja awe mjinga au ajifanye kuwa mjinga?YEyote tu kati yao, so watu wao wa karibu ndio wanafahamu zaid nani kajifanya mjinga. Mimi sijui
MkwasaKwahiyo kati yao nani amekubali kuwa mjinga?
Style moja ya kufanya ,sio habari style za uswahili Mara kuku kabiringika ,Mara chuma mboga lazima mchokane haraka .Watupe Siri ya mafanikio
Kwanini yeye ndiyo mjinga?Mkwasa