Ndoa ya Nuh Mziwanda na Shilole Ipo Mbioni

Ndoa ya Nuh Mziwanda na Shilole Ipo Mbioni

Msamiati

R I P
Joined
Mar 6, 2011
Posts
1,063
Reaction score
700
unnamed.jpg

Baada ya kumvisha pete mchumba wake Shilole siku ya birthday yake,msanii Nuh Mziwanda amesema kuwa muda wowote kuanzia sasa atamuoa mchumba wake huyo.


''Kumvisha pete mchumba wangu ni hatua kubwa na mama yangu alianiambia nikimvisha pete mchumba wangu nisikae muda mrefu na nifunge naye ndoa kwahiyo nafuata ushauri wa mama na nitamuoa Shishi muda si mrefu,'' alisema Nuh Mziwanda.
cleardot.gif
 
Haya mbona hawa hamuwaandami
mnamuandama zari tuuuu?!!
 
Vidole vina sugu chezea kupenda rangi ya mtumeeeeee
 
Back
Top Bottom