Heaven Sent
JF-Expert Member
- Sep 27, 2013
- 32,682
- 98,253
Umbea mwingine ni too much aisee. Ila inawezekana labda sauda mwenyewe ndo alimsimulia mtu kuwa wamefanya tendo la ndoa mara 2 tu, hahahaha ila watu ni balaa jamani
Umbea mwingine ni too much aisee. Ila inawezekana labda sauda mwenyewe ndo alimsimulia mtu kuwa wamefanya tendo la ndoa mara 2 tu, hahahaha ila watu ni balaa jamani
Dah kweli mkuu nashukuru kwa kunisahihisha, dah ila ndomo na yeye sijui aliwaza nini kupanga kule wakati yeye ni bilionea kama anavyojiita
Si angepanga hata zile nyumba zilizo nyuma ya mlimani city walau tungemuona the don, sasa kule karibia na wanyama hotel ushenzin ukipita unaona gari la ndomo lile limepak yan unaona kila kitu ndani na hakuna cha security guards achilia mbali wamasai wanaolinda
Jamanii kuna watu wanasema dai kanunua mabonge ya majumba,na hajapangaaa mnaoishi mjini mtupe detail maana mi najua kapangaa