Ndoa ya Somizi na Mohale chalii

Mohale hapendi mashoga, ila ni umasikini tu ulimpeleka kwa Somizi.

Ashazipata pesa na umaarufu sasa hivi kampani yake ni "totozi"[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] afu ana muacha mzee wa watu ana haha tyuuuh, wanaume wengine wana dhambi jaman khaaaah.

Sent from my Infinix X652C using JamiiForums mobile app
 
🙆🚶🚶🚶🤸🏃🏃🏃
 
Mimi huwa nahisi labda kuna kurogwa aisee[emoji1787]

Huyo Somizi alikuwa fresh tu, anakula totozi kama kawaida na ana mtoto kabisa. Mara ghafla akawa shoga.

Somizi na mwanaye[emoji116][emoji116][emoji116]

View attachment 1786091
Tena mtoto wake cute.

Sio kurogwa, ni hisia zake jamani, sema alifanya vile kufake tyuuh, ila alishindwa kujificha akaona awe wazi ambapo uhalisia unataka.

Sent from my Infinix X652C using JamiiForums mobile app
 
Mie nashangaa jinsi watu wanavyowajua hawa madunya utadhani wanaishi Manzese [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Ahahah hata Mimi nikawa bize kusoma comments na kurudi juu kuangalia picha huyo somizi ndy yupi maana Nina lake linatajwa zaidi

Wanavyowachambua Hadi nashangaa,mmoja kasema huyo shoga katoa msaada kwa wahanga wa covid 19..watu wako deep sn[emoji16]
 
Ahahah hata Mimi nikawa bize kusoma comments na kurudi juu kuangalia picha huyo somizi ndy yupi maana Nina lake linatajwa zaidi

Wanavyowachambua Hadi nashangaa,mmoja kasema huyo shoga katoa msaada kwa wahanga wa covid 19..watu wako deep sn[emoji16]
Maisha ya watu siku hizi yote yanawekwa Instagram.
 

Mohale ni mafia, hana habare, yuko zake busy na photo shoot kila kukicha, ila ipo siku atamkumbuka kwa kweli, somizi gave him everything , nilikutana na mohale Sandton anaendesha Mercedes g wagon, kasafi kananukia, Tatizo mohale anapenda vinga’ast wale mabishoo wabeba vyuma, sasa somiz sura hana , shape hana akaona isiwe kesi
 
Mohale hapendi mashoga, ila ni umasikini tu ulimpeleka kwa Somizi.

Ashazipata pesa na umaarufu sasa hivi kampani yake ni "totozi"[emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Ka mohale kashoga tu Hata kalivyo, kanavyovaa na kuongea ila tu kilichompeleka kwq somizi ni pesa sio mapenzi coz nadhan kwake somiz hana mvuto
 
Mashoga wengi wanajua sana kupika, na wanakua multi talented na wana vipaji vya kutisha, popote wanapogusa huwa wanafanya mabalaa, wengi wana akili za ajabu mno na mafanikio ya kutisha
Kweli usemacho
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ila binamu bhana, sio huyo tyuuh basha wengi hasa vitoto 20 - 30s wanapenda mabishow na wabeba vyuma, hawa wazee wanafataga pesa zao tyuuh.

Sent from my Infinix X652C using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…