Woyooooooooooooooooooooooh wapi nduruuuuuuuuuuuuuuuh, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mashoga wengi wanajua sana kupika, na wanakua multi talented na wana vipaji vya kutisha, popote wanapogusa huwa wanafanya mabalaa, wengi wana akili za ajabu mno na mafanikio ya kutisha
[emoji15]heeeh!!!Tatzo la hawa watu m1 wapo hayupo ki dhati ktk mapenzi ya mlengo huo, yupo kwa ajiri ya maslahi, ndo maana wanaishia kuparaganyika tyuuh.
Na huyo bibie nae ameshindwa kabisa kumdhibiti huyo bwana, hadi anachezeshwa hivo kidamali? mambwata yote haya duniani hapa? Khaaaaah [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Nawaombea kwa Jah wamalize tofauti zao, wakae chini na kujenga ndoa yao upya irudi km zamani.
Sent from my Infinix X652C using JamiiForums mobile app
Haaaaa dunia ya leo hakuna jipyaInasikitisha sana.
Haaaaa huu uzi umekutoa pangoni huu,Huyo mwenye bleach ndo mke, na huyo mwingne mume, yaan mtu analea kibenten wake, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Dunia tamu hii, sugar mommy na mariooh hadi kwenye gaysim, [emoji23][emoji23][emoji23]
Sent from my Infinix X652C using JamiiForums mobile app
Kakugusa
Yaan naona burudaniiiiih sana, hivi ulikua wapi kushuhudia ndoa yangu eti mommy?Haaaaa huu uzi umekutoa pangoni huu,
Leo unajiskia burudani haswa kuwaona wenzio
Umefanyaje? Au ulitaka nishauri vipi jaman? [emoji23][emoji23][emoji23]
Yaan kanikosha roho na imesuuzika hatareeh. [emoji23][emoji23]Kakugusa
Hiyo ndoa umefungia nchi ipi? Maana nilikuona tu pale ulipovalishwa Pete na mwanaume mwenzioYaan naona burudaniiiiih sana, hivi ulikua wapi kushuhudia ndoa yangu eti mommy?
Sent from my Infinix X652C using JamiiForums mobile app
Haaaaa dunia ya leo hakuna jipya
Mimi huwa nahisi labda kuna kurogwa aisee🤣
Huyo Somizi alikuwa fresh tu, anakula totozi kama kawaida na ana mtoto kabisa. Mara ghafla akawa shoga.
Somizi na mwanaye👇👇👇
View attachment 1786091
Hiii sijui ukoje aiseeeh.Mashoga wengi wanajua sana kupika, na wanakua multi talented na wana vipaji vya kutisha, popote wanapogusa huwa wanafanya mabalaa, wengi wana akili za ajabu mno na mafanikio ya kutisha
Pengine, mana hata wakiwa pamoja.Mohale hapendi mashoga, ila ni umasikini tu ulimpeleka kwa Somizi.
Ashazipata pesa na umaarufu sasa hivi kampani yake ni "totozi"🤣🤣🤣
Mkwamooooo.Hivi binamu huko South hakuna mambwata? Mie hata sielewi somiz anakwama wapi, kumdhibiti huyu kiben10 wake lol, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Sent from my Infinix X652C using JamiiForums mobile app
Na he seem to be stressed.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] huyu somizi nae akae kwa kutulia, ataishia kupigwa matukio, mwisho afe kwa stress, mapenzi haya jamani khaaaah
Sent from my Infinix X652C using JamiiForums mobile app
Sana sana sana.Ametoa sana misaada ya chakula wakati wa strict lockdown due to COVUD-19 kitu ambacho hata makanisa yetu ya kilokole hawafanyi.
Dunia hii sometimes ukiiangalia kwa macho ya kipekee utakuwa mtu huru kabisa.