Ndoa ya Somizi na Mohale chalii

Mashoga wengi wanajua sana kupika, na wanakua multi talented na wana vipaji vya kutisha, popote wanapogusa huwa wanafanya mabalaa, wengi wana akili za ajabu mno na mafanikio ya kutisha
Woyooooooooooooooooooooooh wapi nduruuuuuuuuuuuuuuuh, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Sent from my Infinix X652C using JamiiForums mobile app
 
[emoji15]heeeh!!!

Sent from my TECNO P703 using JamiiForums mobile app
 
Haaaaa huu uzi umekutoa pangoni huu,
Leo unajiskia burudani haswa kuwaona wenzio
 
South Africa kuna kila kitu kama unyamwezini, bunduki za kuuana, ushoga umeruhusiwa, kuna masikini wa kutupwa na matajiri wa kusaza. Ile nchi tuwaachie wasauzi wenyewe,sisi tupige biashara tu pale tuchukue hamsini zetu,basi.
 
Mashoga wengi wanajua sana kupika, na wanakua multi talented na wana vipaji vya kutisha, popote wanapogusa huwa wanafanya mabalaa, wengi wana akili za ajabu mno na mafanikio ya kutisha
Hiii sijui ukoje aiseeeh.

Gays are multi talented.
Yaaaaaani yaaani unamkumbuka Paco Decor?
Dah!
Basi tu ile fags ni noma wen it comes to talents.
 
Mohale hapendi mashoga, ila ni umasikini tu ulimpeleka kwa Somizi.

Ashazipata pesa na umaarufu sasa hivi kampani yake ni "totozi"🤣🤣🤣
Pengine, mana hata wakiwa pamoja.

He was tu yani tu his own world.
Somizi still love him aiseeh, yani sijui kama anachomoka.
Ndo mana bado he clings in there, kwa personality aliyonayo na self built happiness being he is.
Alikuwa wa kumtaliki Mohale haraka sana.
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] huyu somizi nae akae kwa kutulia, ataishia kupigwa matukio, mwisho afe kwa stress, mapenzi haya jamani khaaaah

Sent from my Infinix X652C using JamiiForums mobile app
Na he seem to be stressed.
Japo anajaribu sana kuwa okey, but hii ya Mohale imemtikisa maskin
 
Ametoa sana misaada ya chakula wakati wa strict lockdown due to COVUD-19 kitu ambacho hata makanisa yetu ya kilokole hawafanyi.

Dunia hii sometimes ukiiangalia kwa macho ya kipekee utakuwa mtu huru kabisa.
Sana sana sana.
Na anasomesha watoto, yani anarudisha kwa jamii mno.

Na wa SA wanampendaaaa.
Ehehehhehehehher
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…