Usalama barabarani
JF-Expert Member
- Dec 12, 2017
- 867
- 1,066
Eee Yesu nusuru kizazi changu!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Acha kukurupuka
Kwa akili yako ndogo unadhani kati ya hao wawili hakuna anayetambulika kama mke?
Yaaani unatarajia wanaitana mume mume?
Uwe unasoma basi hata mada yenyewe,usikurupuke kukosoa ujinga
Huyo Somizi huwa namwona anatafuta furaha kwa nguvu sana.Huwa wanaitana husband kila mmoja anamuita mwenzie hivyo, Coz wote ni wanaume in reality
Kwenye sex inakuwaje?wanafanyana ama kuna mmoja anamfanya mwenzie?Huwa wanaitana husband kila mmoja anamuita mwenzie hivyo, Coz wote ni wanaume in reality
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ila wee dea lolKwenye sex inakuwaje?wanafanyana ama kuna mmoja anamfanya mwenzie?
Kama unafahamu nifahamishe tafadhali[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ila wee dea lol
Sent from my Infinix X652C using JamiiForums mobile app
Huyo mwenye bleach ndo mke, na huyo mwingne mume, yaan mtu analea kibenten wake, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kama unafahamu nifahamishe tafadhali
Huyo Somizi huwa namwona anatafuta furaha kwa nguvu sana.
Ana pesa, fame anapata deals kibao lakini furaha imekuwa shida sana.
Halafu ana mtoto mkubwa tu wa kike, yaani hata huwa ushoga watu wanashangaa aliuanza lini.You are right, Mungu hawez kukupA Kila kitu, he has all the money , fame , power ila kwenye mapenzi Mungu kamnyima, he was forcing himself kwa mohale, he was too much but watu walimwambia huyo sio type yake all he wants is money n fame
Kaka umejuaje hz hbr mbay hv unafatiliaa kweli adi kujuwa kuwa Ana furaha ama Hana...au na wew unachekechwaHuyo Somizi huwa namwona anatafuta furaha kwa nguvu sana.
Ana pesa, fame anapata deals kibao lakini furaha imekuwa shida sana.
Nenda Pornhub uone vile mashoga wanafanya, homo sexuality ni kinyaa kwa kweliKwenye sex inakuwaje?wanafanyana ama kuna mmoja anamfanya mwenzie?
Hukaoni kamelegea hadi utosi?Jamani!
Sasa mke ni yupi kati ya hao wawili?
Ni star mkubwa mkuu. Ameanza kucheza filamu enzi za Sarafina. Vile vile ni Judge kwenye Idols South Africa, Msanii wa Muziki na ni TV personality. Hivyo namfollow Instagram.Kaka umejuaje hz hbr mbay hv unafatiliaa kweli adi kujuwa kuwa Ana furaha ama Hana...au na wew unachekechwa
Huyu somizi jaman nae mbishi, hata Bob risky aliwahi zungumzia hili, alisema hawaendani ila akashushuliwa vikali na watu mweeh,You are right, Mungu hawez kukupA Kila kitu, he has all the money , fame , power ila kwenye mapenzi Mungu kamnyima, he was forcing himself kwa mohale, he was too much but watu walimwambia huyo sio type yake all he wants is money n fame
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hukaoni kamelegea hadi utosi?
Sasa kwan unadhan huyo mohale ndo anataka hiyo ndoa? Somizi mbishi na king'ang'anizi, ana mganda mwenzie km ruba, anadhan pesa zake zinaweza kumdhibiti mohale, kumbe anajidanganya mwenzake kijana yee mzee, wapi na wapi?Halafu ana mtoto mkubwa tu wa kike, yaani hata huwa ushoga watu wanashangaa aliuanza lini.
Mtu mwenyewe ameshazeeka, wakati Somizi anacheza Sarafina, huyo Mohale labda ndio ananyonya.
Kama Mohale alitaka fame na pesa ameshaipata, sasa hivi anafanya kazi na nakampuni kibao sasa why aendelee kukomaa na mzee.
Ubarikiwe sana Mr, hakika upo sahihi sana.Ni star mkubwa mkuu. Ameanza kucheza filamu enzi za Sarafina. Vile vile ni Judge kwenye Idols South Africa, Msanii wa Muziki na ni TV personality. Hivyo namfollow Instagram.
Mkuu dunia ya leo jifunze kukubaliana na ukweli, au wanasema ukubali kutokubaliana. Just embrace diversity.
Ndio ashakuwa hivyo na huwezi kumbadili hata kama ukimchukia chuki gunia.
Binafsi huwa naangalia utu, mambo mengine kila mtu ana matatizo yake.
Matumizi mabaya ya silabi na ilabu za neno bibie yaite tu machoko itatoshaTatzo la hawa watu m1 wapo hayupo ki dhati ktk mapenzi ya mlengo huo, yupo kwa ajiri ya maslahi, ndo maana wanaishia kuparaganyika tyuuh.
Na huyo bibie nae ameshindwa kabisa kumdhibiti huyo bwana, hadi anachezeshwa hivo kidamali? mambwata yote haya duniani hapa? Khaaaaah [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Nawaombea kwa Jah wamalize tofauti zao, wakae chini na kujenga ndoa yao upya irudi km zamani.
Sent from my Infinix X652C using JamiiForums mobile app