Super Handsome
JF-Expert Member
- Jul 16, 2013
- 3,844
- 6,448
Ankal ndiyo huyo huyo ambaye juzi kati alipewa ofa na Mr Misifa former police kwenda Dubai..karudi hata mwezi hana ametandikwa talaka!Duu basi huyu dada kapitia majaribu ,halafu na yeye si ana mguu mmoja au ??
kwan lazima aolewe?hii ni ndoa ya 100*au?!, hebu atulize kinanihii...Dah huyu Dada mbona anapitia mitihani migumu hivi!? Nimesikia uchungu mno baada ya kuona kwenye mitandao kuhusu kuvunjika kwa ndoa yake na nikapata uthibitisho kwenye radio kipindi cha dida. Kwanza kabisa namuombea apone then mengine ndo yatafuata.
[emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] hawa ndo wale ambao lazma akeketwe la si hivyo.....nasikia umalaya umemzidi bibie sijui kweli
ndioHuyu ndie alikua mke wa Sajuki ??
Duu kweli bongo nyosoAnkal ndiyo huyo huyo ambaye juzi kati alipewa ofa na Mr Misifa former police kwenda Dubai..karudi hata mwezi hana ametandikwa talaka!
ndoa nne zote chali wewe huoni ajabu hapoWatu bwana!! Kuvunjika kwa ndoa kuna uajabu gani?
Maelezo ya kina tafadhari kwa mfano, Wastara anajishughulisha na ...................
Aliolewa tarehe ...................na fulani .......
Kaachwa kwa sababu ya ......................
Sio wote tunawajua watu wote hapa mjini.
Huwa nikikutaga habari siijui au wahusika siwajui huwa napitaga kushoto, sio lazima kujua kila kitu.
Siku hizi wazee wa "hit and run" wana mbinu za kidigitali, anakukabidhi gari au kandoa ka kizushi.
Ku-do kila mtu anaweza au unafikiri Bond alikuwa hawezi? Kaponzwa na tamaa ya noti.nilijiuliza sana kama huyu wastara angeweza kuvutiwa na matusi ya Sadif..... hadi akaona ndiye awe baby wake!?
tabia ya SDF nje ya Lugha za msalani, hawezi kumshawishi mtu kuwa naye karibu. WSTR kaponzwa na tamaa ya ku-do
Mkuu kama hujui yote haya kuhusu huyu dada basi ujue habari haikuhusu.
Anyway, mimi pia simjui nasubiri ujibiwe na mimi niokotezee hapo.
nilijiuliza sana kama huyu wastara angeweza kuvutiwa na matusi ya Sadif..... hadi akaona ndiye awe baby wake!?
tabia ya SDF nje ya Lugha za msalani, hawezi kumshawishi mtu kuwa naye karibu. WSTR kaponzwa na tamaa ya ku-do
Dah huyu Dada mbona anapitia mitihani migumu hivi!? Nimesikia uchungu mno baada ya kuona kwenye mitandao kuhusu kuvunjika kwa ndoa yake na nikapata uthibitisho kwenye radio kipindi cha dida. Kwanza kabisa namuombea apone then mengine ndo yatafuata.
huyu dada sina maana ya kum judge, ila aliolewa na huyu jamaa kwa sababu alikua desperate, hakufanya upembuzi kujua kweli kama nikiolewa na huyu jamaa nitaweza kuendana nae au vp, yeye alikimbilia kuolewa tu basi, pole kwakenyota ya popo!/
Ni hii ndoa ya juzi na mheshimiwa Fulani au?
mh.awe na roho ya ubinaadam tafadhali,apate sunna.