majiyachupa
Member
- Jul 5, 2011
- 57
- 11
labda aolewe na lance wa mange kimavi manake anampaisha kila siku kama analipwa, mie natamani ningemuona mama ubaya akiwa ndani swimming costume tena bikini kama za hudda he he heeee tungeona mterepweto hizi nguo hizi zinafichaga mengi sana.
ile mihela ya kuhongwa anarushaga kwenye masteji angekwea pipa kwenda kuondoa michirizi hapo south na wala sio expensive ati anamaintain jina mume atakula loss kama lance hadi arudi class!
Kwan uongo malaya akiolewa kaenda likizo kashazoe kulabhata kupareee sasa ukamuweke ndan hv Kweli ataweza kukaaa awangalietu wenzi kwny Scalia network wanavopart itakua ndoto
unamuita mtoto wa mwenzio malaya....alitembea na baba yako?
Kwan uongo malaya akiolewa kaenda likizo kashazoe kulabhata kupareee sasa ukamuweke ndan hv Kweli ataweza kukaaa awangalietu wenzi kwny Scalia network wanavopart itakua ndoto
Director Chriss ndiye iyemuumbua.Dougie masta alimkosea sana yule kaka kwa kumtukana matusi ya nguoni afu Wema akakaa kimya kabisa.
Yani Wema mbele ya team yake ushuzi hajali hata proffession yake wala mahusiano yake na watu wengine.
Anakera sana.Tena nna uhakika rich gang walifanya yao Na iyo ilikua baafa ya yeye kuwasikiza sana wale mbwa zake.
Ivan alipoona tako linadindoka akatoka baruuu
Hahahahahahaaa!!! Umenichecheshaa. Eti akatoka baruuu! I said it here at the time, I thought Wema was being stupid to announce and let people believe she got married just because of Zari White party. Wale woote wanaosema ametulia haangaiki na Diamond wala Zari, really? Team Wema are going around verbally insulting anyone they deem as a supporter of Diamond or Zari and Wema stands by enjoying it. Innocent,she isnt.
unamuita mtoto wa mwenzio malaya....alitembea na baba yako?
Naona povu zina watoka kuhusu wema,alishasema ni movie! Acheni roho za kimaskin!
Kwan uongo malaya akiolewa kaenda likizo kashazoe kulabhata kupareee sasa ukamuweke ndan hv Kweli ataweza kukaaa awangalietu wenzi kwny Scalia network wanavopart itakua ndoto
Haaaaa u can say that again muke ya mtu
Ww umemalayawa na wangapi? baba ako,hawara yako,kaka ako au nani kwenye ukoo wenu kamlala. Acha kujiongezea midhambi v.....uzi weee. Muache mtt wa watu apumue
nilikuwa natype nikakuta tuu nimendika mange kimavi haya mfikishie ujumbe. by the way mie sio team zombie siabudu mungu mtu ati nimuonee wivu kwenye kile kibanda umiza kilichopauka au bongolicious? mtu hajui hata kupiga mswaki domo linanukaa mwambie asugue na ulimi lichafuu kutwa kunanga wenzake akiletwa humu kaingiaje.....wivu kidonda mwanamke
mange kaingiaje humu???
nilikuwa natype nikakuta tuu nimendika mange kimavi haya mfikishie ujumbe. by the way mie sio team zombie siabudu mungu mtu ati nimuonee wivu kwenye kile kibanda umiza kilichopauka au bongolicious? mtu hajui hata kupiga mswaki domo linanukaa mwambie asugue na ulimi lichafuu kutwa kunanga wenzake akiletwa humu kaingiaje
Ww umemalayawa na wangapi? baba ako,hawara yako,kaka ako au nani kwenye ukoo wenu kamlala. Acha kujiongezea midhambi v.....uzi weee. Muache mtt wa watu apumue
nilikuwa natype nikakuta tuu nimendika mange kimavi haya mfikishie ujumbe. by the way mie sio team zombie siabudu mungu mtu ati nimuonee wivu kwenye kile kibanda umiza kilichopauka au bongolicious? mtu hajui hata kupiga mswaki domo linanukaa mwambie asugue na ulimi lichafuu kutwa kunanga wenzake akiletwa humu kaingiaje…
Tulichambw humu, majina yote tukaitwa ooh hayawi hayawi, mara wachawi wameumbuka, nashangaa sie wachawi bado tupo tuh ila malaika ndo wanaumbuka hadharan na ndoa fekero, watu wanapenda makubwa nyoo