Ndoa ya Wema Sepetu imeishia wapi?

maneno yako inaonekana una bifu binafsi na mange..........

watanzania ni watu wa ajabu sana............


nyoo anavyoanika wenzie wachambwe deile mnaona poa eeh? sina bifu naye naichukia mitabia yake hapa najiachia kwa raha zangu yaelekea unampenda sana mie simpendiiiiii… yes watanzania watu wa ajabu sana tukianza na huyo jini kisirani unamnanga mwnamke mjamzito kila leo ili iweje? yani silipendiii halafu uni wachee kama umebanwa pita hiviiii:alien:
 

Ngoja nimsaidieeeee apite hiviiiii 👉👉👉👉👉👉👉👉👉👉👉👉👉👉👉
 
Nimesikia Wema ni Mzanzibar hana hiyana kwenye mapenzi, ndiyo maana wanaopenda wanampenda sana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…