YAni sitaki kabisa iusiane na account yangu ya fb,maana kila nikifungua naona facebook friends hao, mimi sitaki sijui unafanyaje msaada please Matola matumbo zavi chige Ruttashobolwa msaada wenu nataka kufungua account ya insta ila sitaki ihusiane na account yangu ya Facebook, nataka iwe separate yan ijitegemee maana kila nikifungua account naona Facebook friends inakuwa linked yan marafik zangu wa fb wanaona jina la account ya insta mimi sitaki sasa
Mpaka sasa management yake inafanya siri kubwa kuhusu tukio hilo muhimu litakalobadilisha title na heshima ya msanii huyo.
kwa maneno hayo hiy sio ndoa bali mkataba kufuta maumivu yaliyompata baada ya kumuacha ex wake na kujuta. na pia kuongea ----- kiundani akidhani ex atarudi kwa kumuonea huruma.
inabidi tujitayarishe kuona kideo cha kusema ameolewa yaani acting at its highest level...I hope atamlipa jamaa au kufata matakwa or ataumbuliwa...na tabia zake za kuchepuka aache pia....mkataba wengi wamefanya na mnyanyaso wanauona au wamepitia.
Diamond na Zari ni kiboko...yaani D.
Angetulia tu na kuacha kushindana na Diamond, amezoea kupatapata ataweza kurudisha heshima kweli? inasikitisha kuwa angetulia tangu kujua D hakumjibu sms aliyojigonga angendlea kufanya yake na kutomweka kwenye in my viatu prog ili a move on, sasa amekaaa anamuweka akihope atarudi kumbe no,,,,then anaenda kuingilia ndoa ya dada wa Diamond sababu anafanya kazi na Petit...inasikitisha.
Huyo mwanaume asiyejiamini sio mwanaume bali amepangwa au amelipwa aje, kwani wema ana wanaume wangapi hadi waseme anajificha? kwani nani anamsumbua kutokanae...watunge maneno mengine hao choka mameneja wake...kweli wanatoa sababu za kipumba si bora kunyamaza kimya kuwa wadogo wadogo...
wema kweli umekwisha mwanamke....D wanasema umemuacha sababu ya babu sasa nini tena. tulia fanya yako kivyako sio kwa kupanikishwa na D.
Kwani mtu hawezi kunifungulia kwake akanipa password na username then mimi ni edit maana fb account ni ya biashara siwz kudelete
Njoo Ig uone wema alivyotupea yaani hakuna kama madam.Mtaongea sana yy kwake vitendo na cy maneno.karibu sana ig warumi.Naona watu wananifolo sasa, sijui kwa nn wakat sijajitangaza
Njoo Ig uone wema alivyotupea yaani hakuna kama madam.Mtaongea sana yy kwake vitendo na cy maneno.karibu sana ig warumi.
Ilijulikana lazima afanye kitu kabla ya Zari's White party( Mrs. Diamond) tarehe 1 May 2015, sababu bado anampenda Diamond. na wanampelekesha... na amefanya OMG
Duh anasikitisha....inauma kumbe kumuacha bwana na kuhonga eti kuolewa picha unarusha zako mwenyewe...na hauna mpinzani. Please she should take a break...she can't break the internet...she need to relax.
kwa maneno hayo hiy sio ndoa bali mkataba kufuta maumivu yaliyompata baada ya kumuacha ex wake na kujuta. na pia kuongea ----- kiundani akidhani ex atarudi kwa kumuonea huruma.
inabidi tujitayarishe kuona kideo cha kusema ameolewa yaani acting at its highest level...I hope atamlipa jamaa au kufata matakwa or ataumbuliwa...na tabia zake za kuchepuka aache pia....mkataba wengi wamefanya na mnyanyaso wanauona au wamepitia.
Diamond na Zari ni kiboko...yaani Chibu.
Nimefnya hvyo ila naona wananifolo watu kibao
Poleni sana,Wema kazi tu majungu kwenu.Uko juu madamemuoneni huyuua anawewesekaaa
hhhhahaaaaaaa
muoneni huyuua anawewesekaaa
hhhhahaaaaaaa