Ndoa ya Wema Sepetu yazua gumzo mjini

haaaa ndo kimya kimya hatukutaka wambea kama wwe mdake mapicha ya shemeji


ushamjua shemeji llakini binamu

MMh nimjulie wapi binamu ila si alisemaga kuwa hawezag kujificha akiwa na mpenzi huyu leo imekuwaje? Yani ma boyfriend anawatangaza hadharan halafu mume anafichwa mmh kazi ipo yetu macho
 
Hahahahahahaha wema hapendi diamond wala hana mawazo yakurudiana naye kwani siyo wema yule mjinga mjinga wa mapenzi.Ni wema mpya tena cyo maneno sasa kazi tu na wala cy hivyo mnavyodhani

Matendo yake hayasemi hivyo.
 
Haya bibie na uolewe sasa japo uilinde heshima yako kidogo iliyobakia maana kama mpapa umejua kuugawa.
Yani nimebaki mimi tu ndo sijala papa ya Sepenga,hadi harmorapa anaelekea kunishinda dooh sijui nimelogwa mimi😁
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…