Ha ha ha ha. Ndivyo nilivyo siku zote sipendi kero ndio maana hua naepusha shari.
Ahahahahahah ahahaahh, unanichekesha asseh, kwa hyo hapati hisia za kuigiza mpaka aingizwe machine? Nasikia walimbakaga pale lamada mbele na nyuma yan huyu bibi harusi kwa kweli hapana
haya tunangoja harusi tuone pwanya road wanavojimwagamwaga wakiongozwa na pwanya buku dogimastaMashabiki na wafuasi mama.Eti nao wanajipa moyo kua lazima wahudhurie harusi ya madame wao! Hivyo kutokana na walivyo wengi lazima wafanye harusi uwanja wa taifa!
teh kwani sio familia.yake hiyo?Ha ha ha jamani vibaya hivyoooo ujue?
Wala c kwamba unaepusha shari mtoto wa kike unafyum haraka sn
haya tunangoja harusi tuone pwanya road wanavojimwagamwaga wakiongozwa na pwanya buku dogimasta
teh kwani sio familia.yake hiyo?
Hahahajaja jamaa Amesema Mumfuate PM
Aisee Warumi kiboko. Mi nnachompendea ikiwa ya uongo anakubali kusutwa.hivi warumi huwa unapata wapi hizi habari? wewe ni ke au me?
haya maswali ya jinsia yananichosha , vyovyote utakavyofikiria sawa tu, kuwa huru binamu.
Haya bibie na uolewe sasa japo uilinde heshima yako kidogo iliyobakia maana kama mpapa umejua kuugawa.
ha ha ha hongera kwa kumpa zake ila hiyo ndoa ka ipo itakua ni ya mkataba tu maana na mapepe yke hawez tulia.
Mkuu hii sio km nqmpiga dongo bali ni kweli....kuna alieniambia ni mtu wake wa karibu sana...Wema bila kuingizwa mti ufanisi wake wa kazi unakuwa mdogo sana...
Hatakiwi kulaumiwa, ndivyo maumbile yake yalivyo!
Ndio nahaha apa kujipendekeza insta kwa team wema nipate umbea
Huyo dogie kujifanya anamjua wema, we ngoja nifungue account insta nitakavyompa vichambo vya haja mxiuuuuuuuu
Ndio nahaha apa kujipendekeza insta kwa team wema nipate umbea
haswaaa na huyo mwanaume nadhani kanunuliwa tu maana anatambua fika kua huo mfupa umewashinda wengi nae ndo kapanda basi anataka akae kabisa kwenye siti. Shaur yke itafika muda atanyanyuka wakae wengine mana huo ni usafir wa kwnda na kurudi.Ha ha ha jamaa inabidi ajilipue haswa.Na akubali kua lazima awe anachapiwa na ibaki kua siri ya ndani.
Weeeeeeeeeeeeeeeee shika adabu yako unataka tung'olewe kucha eeeeee tutaangalia picha tu
Iko kipapa chake sijui kitakuwa na hali gani dah