Kaka mwisho
JF-Expert Member
- Dec 19, 2011
- 407
- 178
ndugu nimekuwa kwenye ndoa kwa miaka 5 maisha yalikuwa mazuri sana. Tatizo limeanza mwaka mwanzoni pale nilipopata ugonjwa usio eleweka. Ghafla hali ilibadilika maumivu yakianzia kwenye unyao mpaka kiunoni misuli kuvuta ikiambatana na maumivu makali na UUME KUANZA KUINGIA NDANI YAANI KUWA MFUPI NA MGUMU NA MAUMIVU MAKALI YA MGONGO. NIMEPIMA MAGONJWA YOTE YA ZINAA SINA. X - RAY PAMOJA ULTRA SOUND PIA HAKUNA TATIZO. MITISHAMBA NIMETUMIA HAKUNA MABADILIKO NA NGUVU ZINAENDELEA KUPUNGUA MPAKA MKE WANGU AMETISHIA KUONDOKA KAMA MPAKA MWISHO WA MWAKA TAKUWA BADO SIJAPONA. NAOMBENI MSAADA WENU WA MAWAZO NA TIBA