Mama paradigm
JF-Expert Member
- Apr 17, 2010
- 372
- 755
- Thread starter
-
- #21
pole mie ushauri langu lianzishe
kama mumeo yuko kimya,wewe initiate mambo naye atarudisha favour....
kuna mahali nahisi ulimuumiza hisia zake kwa kuropoka au kitu kingine kimemfanya ajidistant himself,jichunguze na usirudie....otherwise vunja ukimya kwa hisani ya watu wa marekani lol
duh, pole !!!!
Pole sana dada.. Sasa kama unaona mwenzio yuko kimya wewe usiwe mkimya pia.. Tafuta mbinu mbalimbali za kumchangamsha na kumfanya asiwe mkimya.. You have to be creative ili uboreshe na kufufua hilo penzi lenu... Usichoke dadangu jaribu tene na tena bila kuchoka mwisho wa siku utafurahi mwenyewe..
Sikiliza ndug wewe utakuwa ume m bore huyo jamaa, inaonekana wewe unajua kila kitu jamaa akisema hufanyi au unafanya tofauti n ayeye alivyosema sasa ameamua akuache uendelee na mabo yako, unaonekana unafanya kazi nzuri hivi kwahiyo utakuwa ulimuonesha kwamba you can do without him na kwamba wewe ni jembe, ndiyo maana ameamua kukushit lakini jamaa mstaarabu sana hajakutosa na wala hajaenda nje na bado mna do kwahiyo jamaa ni mwamninifu au labda ameamua kubadilika anachoka sana pengine, sasa ushauri, mtoe out mkazungumze huko, mtafute nenda nae lunch muonyeshe uko nae, he will talk, na achana na mambo yako ya uko bize, mwanamke lazima awe mke nyumbani hata kama huko kazini ni CEO, na mwanaume lazima ufanye kila kitu kwa ajili ya mke hata nguo akununulie, utaona mambo yatarudi kama kawa!Wadau mimi nimeishi kwenye ndoa kwa miaka mitatu, na nimejaliwa kuwa na mtoto mmoja. Before ndoa ilikuwa na bashasha na furaha, lakini sasa mume wangu amekuwa mkimya sana hatuongei tena kuhusu mapenzi, ni busness na family talks tu! Hata muda wa ku do hakuna love talks...ni kimya kimya! Tukiwa home kila mtu anakuwa busy...! Hii imenipunguzia mvuto na nimekuwa more cold as a results naona kama ndo tunafika mwisho wa ndoa yetu. Je kuna njia yeyote ya kurudisha zile old days? Au ndoa zote zipo hivi? Naombeni Msaada jamani.
Kwanini wanawake kila siku hadi tuanzwe? Akiuchuna we lianzishe mama. Vunja ukimya.
The Boss jamani asa yeye akitafuta hobby mbadala na mume naye si atatafuta ya kwake na ndio tunazika ndoa hivyo?! Kuna wanandoa ambao walikuwa kwenye situasion kama hii matokeo yake wana miaka miwili ndani ya ndoa hakuna kugusana! Ni ndoa jina
hapo ndipo mnapokosea sana
sometimes we just want space when there is a lot of stress
sio lazima kuwe kuna kitu kimetokea
WE WANT SPACE.....GET IT...
............You want space okay.....ndio ui-want pasipo kusema au kuweka wazi The Boss?? Do you know how difficulty it is for your partner whom you claim to love? akae akifigure out whats wrong ilhali ungeweza tu kumweleza akaelewa kuwa unahitaji space???!! Phweeee
Na je akifanya hivyo mkeo/we naye kwa jina la kutaka space bila kusema mtamuelewa? Au nyie wenzetu mumeumbwa na hisia za mbingu nyingine tofauti na za wanawake?
ni ngumu kwako kuelewa
wanawake wanafikiri all the time tunapenda kufarijiwa
sometimes WE DONT WANT A PITY LOOK FROM OUR LOVED ONES'
OR A SAD WORD....
WE SIMPLY WANT TIME TO HEAL THINGS
ni Nature sio sisi
Sikiliza ndug wewe utakuwa ume m bore huyo jamaa, inaonekana wewe unajua kila kitu jamaa akisema hufanyi au unafanya tofauti n ayeye alivyosema sasa ameamua akuache uendelee na mabo yako, unaonekana unafanya kazi nzuri hivi kwahiyo utakuwa ulimuonesha kwamba you can do without him na kwamba wewe ni jembe, ndiyo maana ameamua kukushit lakini jamaa mstaarabu sana hajakutosa na wala hajaenda nje na bado mna do kwahiyo jamaa ni mwamninifu au labda ameamua kubadilika anachoka sana pengine, sasa ushauri, mtoe out mkazungumze huko, mtafute nenda nae lunch muonyeshe uko nae, he will talk, na achana na mambo yako ya uko bize, mwanamke lazima awe mke nyumbani hata kama huko kazini ni CEO, na mwanaume lazima ufanye kila kitu kwa ajili ya mke hata nguo akununulie, utaona mambo yatarudi kama kawa!
mmmh, maneno yako ni mazito...labda yana ukweli, ngoja nijikague vizuri...!
mama stan wewe huwa unavaa kama Serena William?
mmh jamani, kwanini wauliza? Mi nampenda tu!
mwambie hivi
'nahisi nimekukosea sana lakini sijui ni nini hasa
kwa hiyo naomba samahani, unisamehe'
nakupenda sana mpenzi....
we huvai hivyo?
unacheza tennis?
hapo ndipo mnapokosea sana
sometimes we just want space when there is a lot of stress
sio lazima kuwe kuna kitu kimetokea
WE WANT SPACE.....GET IT...