Dr Matola PhD
JF-Expert Member
- Oct 18, 2010
- 60,050
- 104,466
Mwalimu wako alipata shida sana kukufundisha.Iko hivi kwanza ukienda mahakamani watakuuliza Kwanza kuhusu bakwata,yaani hawawezi kusikiliza kabla hujapitia bakwata.
Bakwata Makao Makuu wanatoa talaka na inatambulika kisheria,,Ila kama ni ndoa ya ugomvi na purukushani wao hawaivunji Bali mnaenda kumalizana mahakamani.
Kwahiyo sio kwamba Bakwata imepokonywa kabisa mamlaka ya kuvunja ndoa laa! Ila Kwa mazingira hayo niliyo taja ndo unaenda mahakamani
Ntabaki nao wala usijali mkuu!Mwalimu wako alipata shida sana kukufundisha.
Baki na ujinga wako.
Acha uongo mie mwenye mkristo,ukweli ndio za wenzetu Islamic ndoa zao hata zikiwa za Mme na wake 3 zipo vizuri kuliko zetu za mke mmoja.mbona huwa hatuoni huku mtaani wakisema wanapeana magonjwa??
Umeongea ukweli, wakristo tujitathimini tuone tunakwama wapi?
Naomba unitafutie kifungu katika biblia kinachosema mnatakiwa kuoa mke mmoja Tu,,,,nipo hapa nasubiri!Bible imetamka mke mmoja tu.
kama unaona unaweza kuongeza,usiogope macho ya watu wewe endelea tu.
Kaka umeongea utopolo sanaUkristo hauna sheria moja..
Mfano wasabato utaratibu wao wa ndoa haufanani na catholic, na catholic haufanani na TAG, etc
Ukienda anglican hawafanani na KKKT.
Kujumuisha ukristo unakosea..
Kila dhehebu lina taratibu zake za ndoa .
Ukristo unafanana tu kwenye swala la ndoa ya mke mmoja.. ila sio kwenye talaka..
Na sio sheria za ukristo tu bali hata dini za uyahudi, dini za kihindi, dini za kichina, dini za kijapan, budhist religion, hindu etc.. zote hizo ndoa ni mke mmoja..
maana mwanamke ni binadamu na yeye amepewa heshima ya kufurahia maisha yake ya kuolewa peke yake na mumewe.
Sio mwanamke analetewa magonjwa ya bi mdogo.. mara ya mke wa 3 anamuambukiza mke wa nne. Yaani mume anakuwa kiwanda cha kusambaza magonjwa kwa wake zake
Kaka umeongea utopolo sana
Nanukuu
Ukristo hauna sheria moja
Kama unakijua ulichoandika naomba kujua sheria ya kila dhehebu ulilitaja na uniambie andiko ambalo kila dhehebu linasimamia mana biblia ndo katiba yetu
Umeniuzi kweli
Hizo tofauti zote kila mtu anazijuwaNdio ukristo hauna sheria moja mfano Mimi ni mkristo msabato.
Sisi wasabato hatusomi agano jipya.
Tunasali jumamosi na sio jumapili
Hatuli nguruwe huku dhehebu lingine linakula.
Je sisi wasabato sio wakristo?
Ndoa ndoana, waweza kudhani umepata kwa kumchunguza mda mrefu kumbe ni mtego tu wa kukushawishi muingie kwenye ndoa, weeeehh!!! ingia sasa kwenye hio ndoa akiyacomoa makucha aliyoficha utaomba poo
Sheria za wakristo ni kwamba hakuna ndoa kuvunjika na hakuna kuoa tena, kiuhalisia hili ni jambo ambalo ni mtihani, kwamba kijana rijali kabisa akishindwana na mwenzake harusiwi kumuacha na kumuoa upya ?? hiki ni kituko aisee,,,, halafu walotunga hizi sheria ni mapadre ambao maishani mwao hawaruhusiwi kuoa kabisa, ndoa ikkushinda eti uende kwao upewe mafundisho ya ndoa, hivi wao wana uzoefu gani kwenye maisha ya ndoa ??
na ndio maana hizi sheria zipo kinadharia tu lakini katika uhalisia haziwezekani, hii ndio sababu ikbidi serikali iingilie katikuziba hayo mapunufu kwa kutunga sheria ambazo zimekuwa mkombozi kwa wakristo, mkristo ndoa ikimshinda atapambana mahakamani kuipata civil divorce aachane na aweze kuoa upya, zile sheria za kikristo hana mda nazo,,,
Hivi mtu umekaa na mwanandoa mwenzako hakuna amani nyumbani ni mikwaruzo kila siku, mmeoana ndio unakuja kugundua aliyaficha makucha yake na sasa kayachomoa, anakunyima unyumba, anachukia ndugu zako, n.k. hapa kuna ndoa tena ??
Hizo tofauti za kila mtu anazijuwa
Nakuuliza sheria ya ndoa inasemaje kwa kila dhehebu?? [emoji23]
Wasabato siyo Wakristo.Ndio ukristo hauna sheria moja mfano Mimi ni mkristo msabato.
Sisi wasabato hatusomi agano jipya.
Tunasali jumamosi na sio jumapili
Hatuli nguruwe huku dhehebu lingine linakula.
Je sisi wasabato sio wakristo?
Wasabato siyo Wakristo.
Founder wa Wasabato si ndio huyu mwanamke Hellen G White?Inawezekana ukawa sahihi..
Ila kwa ufupi
Wasabato ni Wakristo wanaomuabudu Mungu hasa siku ya Sabato, kama ilivyo kwa Wayahudi, tofauti na Wakristo walio wengi (99%) wanaoadhimisha tangu kale Jumapili kama siku ya ufufuko wa Yesu ambayo umeanza uumbaji mpya utakaofanya viumbehai kushiriki utukufu wa Mwana wa Mungu.
Pia kwa Tanzania tupo kwenye kundi la wakristo.
Hata sheria ya ndoa na mirathi ya Tanzania inatutambua kama wakristo.
Founder wa Wasabato si ndio huyu mwanamke Hellen G White?
Agano jipya ndio injili ya Yesu Kristo Sasa kama hutumii agano jipya huo Ukristo wako unatoka wapi?
Wasabato ni dini inayojitegemea na siyo Wakristu.
Kanisa limekuwepo kabla ya serkali. Unapofunga ndoa hulazimishwi na unaulizwa uko tayari mpaka kifo kiwatenganishe, sasa shida Nini? Kama umelijua hili mapema usifunge ndoa au hama kanisa nenda huko kwenye uhuru. Binadamu bwana, don't force the church to change, always you have options use them.Ndoa ndoana, waweza kudhani umepata kwa kumchunguza mda mrefu kumbe ni mtego tu wa kukushawishi muingie kwenye ndoa, weeeehh!!! ingia sasa kwenye hio ndoa akiyacomoa makucha aliyoficha utaomba poo
Sheria za wakristo ni kwamba hakuna ndoa kuvunjika na hakuna kuoa tena, kiuhalisia hili ni jambo ambalo ni mtihani, kwamba kijana rijali kabisa akishindwana na mwenzake harusiwi kumuacha na kumuoa upya ?? hiki ni kituko aisee,,,, halafu walotunga hizi sheria ni mapadre ambao maishani mwao hawaruhusiwi kuoa kabisa, ndoa ikkushinda eti uende kwao upewe mafundisho ya ndoa, hivi wao wana uzoefu gani kwenye maisha ya ndoa ??
na ndio maana hizi sheria zipo kinadharia tu lakini katika uhalisia haziwezekani, hii ndio sababu ikbidi serikali iingilie katikuziba hayo mapunufu kwa kutunga sheria ambazo zimekuwa mkombozi kwa wakristo, mkristo ndoa ikimshinda atapambana mahakamani kuipata civil divorce aachane na aweze kuoa upya, zile sheria za kikristo hana mda nazo,,,
Hivi mtu umekaa na mwanandoa mwenzako hakuna amani nyumbani ni mikwaruzo kila siku, mmeoana ndio unakuja kugundua aliyaficha makucha yake na sasa kayachomoa, anakunyima unyumba, anachukia ndugu zako, n.k. hapa kuna ndoa tena ??
Kanisa linatumia vyeti vya ndoa vya serikali, hakuna ndoa yoyote mpaka kifo, ndoa ikishindikana inavunjwa mahakamani, kama hujui jambo ni bora uombe kuelimishwa kuliko kulazimisha maoni yako ndio yawe fact.Kanisa limekuwepo kabla ya serkali. Unapofunga ndoa hulazimishwi na unaulizwa uko tayari mpaka kifo kiwatenganishe, sasa shida Nini? Kama umelijua hili mapema usifunge ndoa au hama kanisa nenda huko kwenye uhuru. Binadamu bwana, don't force the church to change, always you have options use them.
Kanisa linatumia vyeti vya ndoa vyaD serikali, hakuna ndoa yoyote mpaka kifo, ndoa ikishindikana inavunjwa mahakamani, kama hujui jambo ni bora uombe kuelimishwa kuliko kulazimisha maoni yako ndio yawe fact.
Wewe ndio huelewi kutumia vyeti vya serkali hakuipi mamlaka yoyote serkali kuingilia taratibu za kanisa, Sheria za kanisa zimekuwepo kabla ya hiyo serikali. Na kwa taarifa yako Vatican is independent state with its own governance. Narudi Tena SI lazima uwe kwenye kanisa you have options use them.Kanisa linatumia vyeti vya ndoa vya serikali, hakuna ndoa yoyote mpaka kifo, ndoa ikishindikana inavunjwa mahakamani, kama hujui jambo ni bora uombe kuelimishwa kuliko kulazimisha maoni yako ndio yawe fact.