naomba nichomekee ishu hapo, ma best frnd yalimkuta hayo, katoka kujifungua jana lakini leo anamuwajibikia mumewe kama kawaida, maid afanyi lolote kuhusiana na mume wake ndivyo alivyokuwa ameshamzoesha, yule baba alitembea maid mpaka mimba bila mama kujua lolote, cku hiyo mama akamshtukia binti kwamba mjamzito, binti kakanusha, wamekaa kdgo binti akaomba ruhusa kwenda kwao kusalimia atarudi baada ya muda, mama kamruhusu, kumbe baba alimpeleka binti kwa frnd wake akakae huko kidogo ili amtoe ile mimba, mumgu c athumnani wapo marie stopes me na ma frnd tunaingia tunampeleka mwanae alipata kahoma tunawakuta wapo hapo, mama pressure juu ndio ikajulikana baba alimleta pale amchomoe hiyo mimba, palikuwa hapatoshi pale...li mwanaume linapatiwa/fanyiwa kila kitu na mkewe lakini mambo ndio kama haya....anaowatetea hawa viumbe labda hayajamkuta, yakimkuta atakaa kimya.........