Mbu
JF-Expert Member
- Jan 11, 2007
- 12,752
- 7,861
...Contadictions kibao...
...ndiyo maana wakasema "siri ya mtungi!", ...kwenye ndoa kuna mengi ...kuwa mwangalifu asije shoga'ko akaja kukusuta na "..pili pili usoila yakuwashia nini?"
...jamani naomba nisaidieni, je kuna ndoa kweli hapa iwapo................
...ila sidhani kama kuna sehemu yoyote ambayo nimesema huo ni utaratibu wao waliojiwekea wenyewe..
sijui ila nafikiri ingekuwa ni utaratibu wao sidhani kama angekuwa analalamika na kutaka ushauri kwa watu nje ya familia.
inawezekana ukweli akaujua yeye mwenyewe
...ila mimi nimewakilisha kile nilichokiona kwa macho- face value of the story
Nini mtazamo wako katika ndoa za aina hii?
...ndiyo maana wakasema "siri ya mtungi!", ...kwenye ndoa kuna mengi ...kuwa mwangalifu asije shoga'ko akaja kukusuta na "..pili pili usoila yakuwashia nini?"