Ndoa Zingine mmmhhh

Ndoa Zingine mmmhhh

wazee kama hawa wanajitafutia pressure za ziada maana kifaa kama hiki lazima masela wakinyemelee.....................!
 
.....hiki kibabu nacho kimepata wapi opportunity hizi rare?...aarrrrrgghh!

Yote haya sababu ya pesa,
Huyo babu atakuwa na mshiko wa kufa mtu na mrembo kafuata hicho hicho na si mapenzi na upendo.
 
Hakuna mapenzi ya kutoka rohoni hapo tusidanganyane jamani...Huyo binti hapo kafuata mshiko tu! Lazima hicho kibabu kina pesa ya kufa mtu!


umeona babu alivyokakombatia kwa kujiamini? kakabana kweli! pesa kitu kizuri sana!
 
Huyu bint atakuwa mtaalam wa mambo ya uchumi coz kafikiria mbali sana kwan ana uhakika akiwa na huyo mzee anawezapata kila kitu atachotaka coz money is every thing! akitaka pesa anachukua kwa mzee, akitaka kumaliza haja zake za mapenzi, anachkua pesa kwa mzee then anaenda kutafuta kijana mwenye sifa na uwezo wa kumtimizia. Pia anajua kuwa lifespan ya mzee ipo matatani so mzee akichapa lapa, yeye ndo atakua incharge
 
Unaweza kuta kina mshiko wa kufa mtu!

Huyu babu nimesikia kuhonga milioni ana ona noma, yaani ka jamaa yangu flani kuhonga chini ya msimbazi wa 5 ahnaona noma. Ni milioni kwenda mbele. nani atakayekataa kuolewa naye bongo?
 
Kwa tafsiri ya kikweli ya ndoa hao watu ni perfect couple!..Cha msingi kama wamekubaliana kuishi pamoja mpaka kifo kitakapowatenganisha sioni shida!...Mambo ya :A S 8:mtarimbo, ...:A S 8:fedha ya kufa mtu...:A S 8:sura etc ni yenu!

Inanikumbusha wimbo wa Bichuka kupenda sio ndoto ya siku moja, wamependana hao.
 
Sura ya bwana harusi imenifanya niumwe macho duh!!!!!!
 
Nashindwa kuelewa iwapo huyu dada kapata mume ama huyu mzee mzima kapata mke. Je watoto watafanana na baba ama mama. Suala la uchaguzi ni muhimu usije pata watoto hata hawawezi shiriki Miss Mtaa

saudibride.jpg

Nyie Pondeni , Maadam wameamua kuwa kitu kimoja,mimi nawatakia Ndoa yenye Furaha na Amani ikatawale katika Nyumba yao
 
Huyo anataka awakoseshe wanawe raha tu, labda asizae! Mwanamke unatakiwa uchague vizuri hata mtoto atakuja kukusifia kwamba kweli nina mama mwenye akili, sio dizaini hii.
 
Nashindwa kuelewa iwapo huyu dada kapata mume ama huyu mzee mzima kapata mke. Je watoto watafanana na baba ama mama. Suala la uchaguzi ni muhimu usije pata watoto hata hawawezi shiriki Miss Mtaa

saudibride.jpg


Sikio 1 la bwana harusi ni kubwa kuliko lingine, nguo ya bb harusi aminia
 
Inadaiwa na mabinti kwamba mababu wanatoa mapenzi ya kistaaabu sana pasi na karufundi ka maudhi. tena hawa wazee hawapeleki jembe kila mahali na kuifanya ndoa iwe na risks pungufu hasa kipindi hiki cha ukimwi. One goal inatosha, kesho ni siku nyingine. Lakini wapo mabinti ambao wanawafanya mababu hao kuwa kivuli tu cha kpumzikia, shughuli pevu zinafanywa na vijana wa nje kwa tija. Kuna mzee mmoja alikuwa anasema hamzuii mkewe kuwa huru kwa kuwa anajijua hawezi kumhakikishia bindi huyo mambo ya kiujana, akadai anachotaka ni kumshauri awahikurudi nyumbani asijisahau huko aendako kwa vijana wenziwe. Ndoa zina siri kubwa na tofauti kubwa kabisa. Usiwaone wanatabasamu kwa wageni, watu wana maudhi wanayoyafunika kwa hekima zao tu. Ukiona wewe una matatizo ujue wapo walio zaidi yako hooi kabisa na hawasemi.
 
Huyo anataka awakoseshe wanawe raha tu, labda asizae! Mwanamke unatakiwa uchague vizuri hata mtoto atakuja kukusifia kwamba kweli nina mama mwenye akili, sio dizaini hii.

Lakini hiyo Da Sophy si inawezekana tu kwa wanawake, kama ni watoto unawazalisha nje,hapo kwa jamaa unatafuna pesa tu!
 
Nashindwa kuelewa iwapo huyu dada kapata mume ama huyu mzee mzima kapata mke. Je watoto watafanana na baba ama mama. Suala la uchaguzi ni muhimu usije pata watoto hata hawawezi shiriki Miss Mtaa

saudibride.jpg
Rev Masanilo asante kwa photo shop yako, I was almost taken in.
Nimemuangalia kwa makini mzee mwenzangu na kugundua kuwa ni mzee feki.
Kichwa cha babu ni kikubwa kuliko mwili
sikio la kushoto ni kubwa kuliko la kulia
koti -picha imefanyiwa ufundi unoonekana wazi
Hata hivyo kimwana ni bomba!!!
 
Lakini hiyo Da Sophy si inawezekana tu kwa wanawake, kama ni watoto unawazalisha nje,hapo kwa jamaa unatafuna pesa tu!

Kuzaa nje kwa aliyeolewa ni tabia mbaya sana, hapo mwanamke unajitukana mwenyewe, sasa wanao wakikuita malaya utawaona wabaya? Kwa ambaye hajaolewa ni sawa, na tena anaweza kuchagua anataka azae na nani kwa viwango anavyotaka. Lakini ukishaolewa uhuru huo hakuna. Ndio maana nasema huyo dada kajiharibia, kama alitaka kuolewa basi aolewe na mwanaume ambaye hata akija kuzaa nae watoto aweze kuwafurahia.
 
Nashindwa kuelewa iwapo huyu dada kapata mume ama huyu mzee mzima kapata mke. Je watoto watafanana na baba ama mama. Suala la uchaguzi ni muhimu usije pata watoto hata hawawezi shiriki Miss Mtaa

saudibride.jpg

Masa, age aint nothing but a number,
Love is not look, its more than that, its to do with feelings and emotions, the bigest part ni spiritual, emotional na ile physical of doing it ndio the least, hata akigusa juu, kama spiritual na emotional imebalance, satisfaction is guarantee.

Any way thanks for the picture japo ni kazi ya photo tuu, sio real life!.
 
Back
Top Bottom