Ndolezi Petro: Polisi waache kutumika kisiasa kwenye michakato ya uchaguzi, wawaachie wanasiasa kunadi sera zao

Ndolezi Petro: Polisi waache kutumika kisiasa kwenye michakato ya uchaguzi, wawaachie wanasiasa kunadi sera zao

mwanamwana

JF-Expert Member
Joined
Aug 1, 2011
Posts
1,309
Reaction score
4,798
Waziri Kivuli wa Ofisi ya Waziri Mkuu wa chama cha ACT Wazalendo, anayeshughulikia masuala ya Bunge, Sera, Vijana, Kazi na Ajira, Mhandisi Ndolezi Petro, amekosoa uchaguzi wa mwaka 2020, akidai kuwa haukuwa huru na haki.

Akizungumza katika mkutano wa hadhara jimboni Bumbuli, Mkoani Tanga, Mhandisi Ndolezi alieleza kuwa uchaguzi huo "ulikuwa ni uchafuzi" ambao uliwanyima wananchi nafasi ya kuchagua viongozi wanaowataka.

Katika hotuba yake, Mhandisi Ndolezi amelitaka Jeshi la Polisi kutokubali kutumika kisiasa katika michakato ya uchaguzi, akisema kuwa polisi wanapaswa kuwaachia wanasiasa waendelee kunadi sera zao kwa wananchi, na hatimaye wananchi wachague yule anayeonekana kuwafaa zaidi.

 
Waziri Kivuli wa Ofisi ya Waziri Mkuu wa chama cha ACT Wazalendo, anayeshughulikia masuala ya Bunge, Sera, Vijana, Kazi na Ajira, Mhandisi Ndolezi Petro, amekosoa uchaguzi wa mwaka 2020, akidai kuwa haukuwa huru na haki.

Akizungumza katika mkutano wa hadhara jimboni Bumbuli, Mkoani Tanga, Mhandisi Ndolezi alieleza kuwa uchaguzi huo "ulikuwa ni uchafuzi" ambao uliwanyima wananchi nafasi ya kuchagua viongozi wanaowataka.

Pia soma: Uzi Maalum wa Matukio ya Kiusalama kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025

Katika hotuba yake, Mhandisi Ndolezi amelitaka Jeshi la Polisi kutokubali kutumika kisiasa katika michakato ya uchaguzi, akisema kuwa polisi wanapaswa kuwaachia wanasiasa waendelee kunadi sera zao kwa wananchi, na hatimaye wananchi wachague yule anayeonekana kuwafaa zaidi.


 
Waziri Kivuli wa Ofisi ya Waziri Mkuu wa chama cha ACT Wazalendo, anayeshughulikia masuala ya Bunge, Sera, Vijana, Kazi na Ajira, Mhandisi Ndolezi Petro, amekosoa uchaguzi wa mwaka 2020, akidai kuwa haukuwa huru na haki.

Akizungumza katika mkutano wa hadhara jimboni Bumbuli, Mkoani Tanga, Mhandisi Ndolezi alieleza kuwa uchaguzi huo "ulikuwa ni uchafuzi" ambao uliwanyima wananchi nafasi ya kuchagua viongozi wanaowataka.

Katika hotuba yake, Mhandisi Ndolezi amelitaka Jeshi la Polisi kutokubali kutumika kisiasa katika michakato ya uchaguzi, akisema kuwa polisi wanapaswa kuwaachia wanasiasa waendelee kunadi sera zao kwa wananchi, na hatimaye wananchi wachague yule anayeonekana kuwafaa zaidi.

Huyo mzima kweli kichwani? Hivi Tangu lini ndoa ya Utatu iliyofungwa Kati ya CCM, Polisi na Tiss iliwahi kutenguliwa au ndoa hiyo kuwahi kufutwa kwa talaka?

Kwa taarifa yake, miaka yote kabisa Tiss na Polisi wamekuwa wakisimamia moja kwa moja michakato ya uchaguzi hapa nchini.
 
Nitawashangaa sana watu wa Bumbuli kama watamrudisha tena January Makamba kuwa mbunge wao, itabidi wakapimwe akili
 
Back
Top Bottom