Ndondi: Bondia Twaha Kiduku ampiga Lago Kiziria kwa pointi

Ndondi: Bondia Twaha Kiduku ampiga Lago Kiziria kwa pointi

JanguKamaJangu

JF-Expert Member
Joined
Feb 7, 2022
Posts
2,780
Reaction score
6,607
TWAHA KIDUGU AMCHAKAZA IAGO KIZIRIA KWA POINTI.jpg
Bondia Twaha Kiduku amefanikiwa kupata ushindi huo na kutetea Mikanda ya PST na UBO Inter Continental, Uzito wa kati Super Middleweight (Kilogram 76) lililofanyika kwenye Ukumbi wa Tanzanite Mkoani Morogoro.

Majaji wote watatu wamempa ushindi Kiduku kwa Pointi 98-92, 98-92, 97-93 licha ya mpinzani wake huyo ambaye ni raia wa Georgia kuonesha upinzani mkali.

Baada ya pambano hilo, Kiduku amesema mpinzani wake alikuwa mzuri na hiyo ilimlazimisha abadili staili ya upiganaji wake na ndio maana wamefika hadi Raundi ya 10.
 
Watanzania nimegundua kwenye ngumu tunashabikia lkn atujui sheria za ngumu yani kama wadada wengi kwenye mpira nishabiki tu naona mmeanza kuwa marefa bila paper note sijui mmerekodi VP point jmn tusiongelee ushindi kazi ya jaji tuongelee mchezo ndo unaonekana bila kuwa na utaalamu wa ujaji jamaa yuko vizur na kupigana kwa kulinda kutotoa point kwa mpinzani ingawa alizidiwa pumzi na kiduku ndo mana alikuwa atoi distance kubwa ambayo kiduku ndo kitu alikua anataka kiduku anaitaji makocha wenyeuzoefu wa game za wenzetu ila mana alikua anashindwa kumkimbia ili asikumbatiwe sana so far kiduku anamefanya vizuri ingawa anahitaji mazoezi ya mapigano zaid pumzi anayo jamani ngumu ushindi sio lazima mpinzani apigwe adi ashindwe kuendelea na mchezo
 
Huu mchezo kw ujumla una sheria za kiwaki hasa kwenye appointing ya team ya uamuzi, referee, venue etc.
Sio mpenzi sana ila yaliyotokea kw Twaha hata kwa Mayweather na Paquiao yalitokea.
 
Back
Top Bottom