much know
JF-Expert Member
- Oct 22, 2017
- 11,461
- 17,183
Kama mwakinyo anavyoenda kuwabinda huko kwaoHawa mabondia wetu waende nje huko wakakipige
Sent using Jamii Forums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kama mwakinyo anavyoenda kuwabinda huko kwaoHawa mabondia wetu waende nje huko wakakipige
Oya😅😅Huyo Twaha huko nje anaendaga sasa labda unamaanisha nje ya Morogoro yaani Dar,Mtwara na Songea
Shida ya mwakinyo ana mdomo kama dem
Tukueleweje? Ushindi mwembamba(win)? Draw au Kapigwa ??Ushindi mwembamba sana,game ilikua droo ama twaha kashindwa..
Mcheza kwao hutunzwa
Garcia kapigwa kipigo cha mbwa koko.Wacha nisubiri tank azichape na yule dogo mwenye mdomo mrefu...
Bongo miyeyusho sana,kwa staili hii atufiki, ni kweli namshabikia twaha ila tunataka ushindi wa kihalali sio kubebwa.
Wamezingua big time
Mpe mkataba.Ifike kipindi TWAHA atoke na akapigane nje za nchi hii kila siku anapigana hapa hapa na hashindi kwa KO ni tatzo akipigana hapa ushindi unaotakiwa wa KO au kumapasua pasua mtu
Atapoteza heshima yake kwa mtindo Huu wa kupambana kila siku nchini kwake awe na mtindo wa kutoka nje za nch akatafute heshima huko
Mpe mkataba.
Zimeshapigwa?Dah nazeekaGarcia kapigwa kipigo cha mbwa koko.
Sio kosa lako,malezi mabovuTukueleweje? Ushindi mwembamba(win)? Draw au Kapigwa ??
Haters siku zote huwa hamna akili ,mnatumia makalio kufikiri.
Sio kweli.Mikataba ipo mingi tu yeye ndio anarula ruka anajua anaweza akapoteza hadhi kama mwakinyo anaweza akawekewa pesa ili auze pambano watu tukamkataa
Zimeshapigwa?Dah nazeeka
Wacha nikatazameGarcia kapigwa kwa K.O round ya saba.
Round ya pili pia alikuwa knocked down.
Sio kweli.
sawaWacha nikatazame