JanguKamaJangu
JF-Expert Member
- Feb 7, 2022
- 2,780
- 6,607
Yes.. uliona kama mie nilivyoona.Ushindi mwembamba sana,game ilikua droo ama twaha kashindwa..
Mcheza kwao hutunzwa
Pumbafu majaji wangezugia hata droo kiduku kabondwa kwa pointUshindi mwembamba sana,game ilikua droo ama twaha kashindwa..
Mcheza kwao hutunzwa
Kiduku kabebwaYes.. uliona kama mie nilivyoona.
Mbeleko mkuuTo be honest huyu ndio bondia kwa bongo
Japo leo kama kasaidiwa hivi
Madhala ya hili ni hadi waende huko njeWacha nisubiri tank azichape na yule dogo mwenye mdomo mrefu...
Bongo miyeyusho sana,kwa staili hii atufiki, ni kweli namshabikia twaha ila tunataka ushindi wa kihalali sio kubebwa.
Wamezingua big time
Bora zikarudiwe huko Georgia tuone kama atatoboa.Madhala ya hili ni hadi waende huko nje
😅😅oyaBora zikarudiwe huko Georgia tuone kama atatoboa.
Kujidharau ama janjajanja,tunapenda kubebwa..Wabongo tunapenda sana kujidharau. Ni hulka mbaya sana.
Ukweli sio kujidharau, ukweli ni ukweli tu ingawa inauma...Wabongo tunapenda sana kujidharau. Ni hulka mbaya sana.
Huyo Twaha huko nje anaendaga sasa labda unamaanisha nje ya Morogoro yaani Dar,Mtwara na SongeaMadhala ya hili ni hadi waende huko nje
Nilikuwa kibanda umiza,wengi walisema hvyoYes.. uliona kama mie nilivyoona.