alfajiri saa 11 supersport 5 km sijakoseaItaoneshwa mida gani na chanel gan?
AJ mtu mwingine mzee hayo maneno na vijembe wanavyotupiana ni mapromoter wanataka watengeneze pesa katika pambano lao liwelamvuto na ndio maana wanakwepana kwepana tu.Huyu Wilder ana mangumi kombora ambayo huwa yanamfikilisha sana Antony Joshua kuingia nae kwenye pambano.
😂😂😂 sio kweli He's not the best on this planetThe baddest man on the Planet [emoji3581], all the best...View attachment 1269735
Jana alikua anahojiwa Sky Sports akasema kwenye lile pambano alikua anaumwa yuko hoi kabla hajapanda ulingoniKama uliangalia pambano la kwanza. Kuna round wilder alichoka kabisa pona pona yake ilikuwa mwisho wa round
Wewe jamaa humtakii mema mwakinyo kabsa!! Wilder ni beast hachelewi kukill mtuMwankinyo aje apambane na wilder
Si ajabu Ortiz akashinda, jamaa naye ni mnyama, pambano la kwanza nusura amkalishe Wilder kwa KO, refa ikabidi ambebe amuongezee muda wa kurecover baada ya kengele. Sema Wilder anajua kuusoma mchezo, rematch anaweza kummaliza within three roundsMzigo [emoji383] wangu naweka kwa Ortiz [emoji123]