NDONDI: Deontay WILDER vs Luis ORTIZ kumaliza ubishi kesho..

Ortiz anamkalisha aj..huyu Wilder anamuua aj tunabeba maiti tu.ila Ortiz atakalishwa
Ortiz wanamkwepa sana, hakuna boxer mkubwa anapenda kukutana naye
 
Niliangalia mapambano ya Wilder, no skills, no technic, no head movement, he just goes for the knockout.

He is a knockout machine.

Kuhusu chin na ana stronger chin vile vile. So Ortiz kazi ni kwake.

Ortiz is good, jabs, skills isipokua sioni kama anaweza vurugu na sharpness ya Wilder. All said hata Joshua tulidhani atashinda kilichomkuta hadi leo haandikwi kama zamani.
 
Wilder ana zero skills, anategemea 1 KO punch. Hakuna aliyewahi kupigana naye hajaenda chini, lengo lake ni moja tu aingiapo ulingoni ni kukuKO, maana anajijua kubox hawezi
 
TBC wataonyesha??

MTANANGE NI SAA NGAP
 
Mwankinyo aje apambane na wilder
Kuna pambano Wilder alimpiga mtu ngumi mkono wake ukateguka, at that point bondia inabidi akaushe awe kashindwa kwa TKO au Disqualification, jamaa hakustop na mkono ulioteguka akaendelea kuutumia.
 
Ortiz alijitaidi sana pambano la kwanza lakini alikalishwa.namkubali sana Wilder na atanikalishia Tena ortiz
Pambo hili nahisi litakuwa gumu sana hasa ukizingatia rekodi ya wote wawili - Wilder & Ortiz.
Ninamkubali Deontay Wilder kwa speed.
 
Si ajabu Ortiz akashinda, jamaa naye ni mnyama, pambano la kwanza nusura amkalishe Wilder kwa KO, refa ikabidi ambebe amuongezee muda wa kurecover baada ya kengele. Sema Wilder anajua kuusoma mchezo, rematch anaweza kummaliza within three rounds
AJ angekuwa ni mmarekani angekuwa bondia mkubwa sana zaidi ya sasa watu wanavyomchukulia.
 
AJ amalizane kwanza na Andy Ruiz 'Chibonge' kabla ya kumfikiria tena Wilder, akipigwa tena ndo kwisha habari yake
AJ alikuwa na wasi wasi sana juu yalile pambano alisema mwalimu wake hofu ndio ilimfanya AJ apoteze pambano.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…