The Boss
JF-Expert Member
- Aug 18, 2009
- 49,282
- 117,244
Yaani mtu kalipia king'amuzi cha Azam sports HD halafu mnaenda kumuonesha
'ndondo cup'?
seriously?
Hivi Azam wameshindwa hata kuonesha Kagame cup
halafu bila aibu mnaonesha NDONDO CUP?
Michuano ya kimtaani mtaani ambayo haipo hata ratiba ya TFF?
Michuano hiyo ni burudani zaidi kuliko mpira wa kweli..umaarufu wake ni wa vituko vya mashabiki tu.....Azam kama mko serious na mnataka kushindana na DStv
please stop this........
Baada ya Spanish La liga basi tuoneshe Africa club championship au tuonesheni ligi ya EGYPT yenye timu kama AL-ahly na Zamalek
kuna vitu vingi vya kuonesha vya afrika nzima na sio ndondo cup
Mnajiabisha saaana, so mediocre.
'ndondo cup'?
seriously?
Hivi Azam wameshindwa hata kuonesha Kagame cup
halafu bila aibu mnaonesha NDONDO CUP?
Michuano ya kimtaani mtaani ambayo haipo hata ratiba ya TFF?
Michuano hiyo ni burudani zaidi kuliko mpira wa kweli..umaarufu wake ni wa vituko vya mashabiki tu.....Azam kama mko serious na mnataka kushindana na DStv
please stop this........
Baada ya Spanish La liga basi tuoneshe Africa club championship au tuonesheni ligi ya EGYPT yenye timu kama AL-ahly na Zamalek
kuna vitu vingi vya kuonesha vya afrika nzima na sio ndondo cup
Mnajiabisha saaana, so mediocre.