Ndondokela ya African league (AFL) ni tofauti kabisa na michuano ya Klabu bingwa Dunia (FIFA)

Yaani wanatamani watume picha ya bango FIFA. Mwakalobo ndio imeifikisha hapo Simba wao walikuwa wanacheka na kukejeli . Wao size Yao akina Marumo.
Wenyewe kucheza ngazi ya makundi hadi wamepinda vibyongo kwa mbwembwe, kumbe hawajulikani FIFA.
 
Wenyewe kucheza ngazi ya makundi hadi wamepinda vibyongo kwa mbwembwe, kumbe hawajulikani FIFA.
Kuna mdau mmoja kasema ili kuwa Mkubwa lazima ucheze na Wakubwa wakufunge, utoke nao droo na hata siku moja uwatime. Simba wakipangiwa na Giant mnawacheka kuwa ndio mwisho wao. Haya nyie endeleeni kupangiwa na kina Madeama.
 
Ukiacha makasiriko na roho mbaya yako ya wivu utakuwa mchambuzi mzuri Tu Simba hawakufika hpo Kwa ghiliba na kujitangaza kwenye media kuna kazi kubwa ilifanyika na hata huko world cup club wataenda wakitimiza vigezo ww nyuma mwiko na akili zako kama kisoda msipo badilika mtabaki kulalamika humu mnaonewa na Simba inapendelewa tumia akili japo kdgo utaona tofauti
 
POLE SANA NAONA UMEZUNGUMZA KWA UCHUNGU KWELI KWELI [emoji16]

LAKINI NIKUAMBIE TU HIZO NDOTO MNAZOZIOTA AMKENI MTAKUNYA KITANDANI BURE.
 
Points mzee,we lalamika tu ila muda ukifika utatuona tunakipiga ma man u wabovu tunawaweka
 
Umewekwa kundi moja na madeama hko vibonde wenzio.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…