Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ukilibebea maji unatembea linakuyumbisha yumbisha lilikua halina balance kabisa kulibeba kwa kichwa.....🤣🤣🤣🤣🤣
Bro shkamoo 😹😹😹😹Hiyo ndoo tulikuwa tunaenda kuogea ukimaliza unaenda zako uani kusugua miguu kwenye jiwe 🤣🤣🤣🤣
Wakati siku hizi miguu tunasuguliwa huku tumepakatwa 🤣🤣🤣
Acha kabisa bro...tumeishi kigumu sana basi tu 🤣🤣Bro shkamoo 😹😹😹😹
Enzi zilikua na raha sana....Acha kabisa bro...tumeishi kigumu sana basi tu 🤣🤣
Unalichukua karai enzi hizo unalijaza mchanga ukipata moto ndo unakaanga karanga.....halafu ile utoto zaidi unalipasha motoooo then unarushia maji yakiruka ruka nna mvuke ule basi raaaha na kelele za cha chaa unachekelea tu 🤣😂Na mwenzake karai, siku hizi ndo yanakaangiwa maandazi.....wahenga tulikua tunaogea.
Halafu leo hii ukiambiwa centrifugal force ni nini hujui ilihali karai lilikupa mfano hai kabisa, ulipata mafunzo kwa vitendo 🤣🤣🤣🤣🤣Ukilibebea maji unatembea linakuyumbisha yumbisha lilikua halina balance kabisa kulibeba kwa kichwa.....
Hajawahi beba karai huyo kama wewe 🤣 🤣 😂 😂Enzi zilikua na raha sana....
Na ilitakiwa kuwa makini ukioga na karai, likiyumba kidogo tuu maji chini povu usoni 🤣🤣🤣🤣Hajawahi beba karai huyo kama wewe 🤣 🤣 😂 😂
Kwahiyo ukitoka kuliogea unalikaangia na karanga? 🤣🤣🤣🤣Unalichukua karai enzi hizo unalijaza mchanga ukipata moto ndo unakaanga karanga.....halafu ile utoto zaidi unalipasha motoooo then unarushia maji yakiruka ruka nna mvuke ule basi raaaha na kelele za cha chaa unachekelea tu 🤣😂
Halafu ukiulizwa ushaoga ushajibu ndio...mara ukaguzi huo, mgongoni kukavu, nyuma ya viwiko kukavu na povu nyuma ya sikio halafu ukute wenzako wanaendelea kula 🤣🤣🤣🤣Na ilitakiwa kuwa makini ukioga na karai, likiyumba kidogo tuu maji chini povu usoni 🤣🤣🤣🤣
Alah sasa kumbe 🤣🤣🤣🤣Kwahiyo ukitoka kuliogea unalikaangia na karanga? 🤣🤣🤣🤣
Wanakula wali maharage hapo unanukiaaaa hadi mtaa wa saba...Halafu ukiulizwa ushaoga ushajibu ndio...mara ukaguzi huo, mgongoni kukavu, nyuma ya viwiko kukavu na povu nyuma ya sikio halafu ukute wenzako wanaendelea kula 🤣🤣🤣🤣
Na matandu ya juu umekosa pia maana wenzio walipewa vipande vipande waonje, umekosa yote na mbaya zaidi ukute na moyo wa nanasi umeukosa pia 🤣🤣🤣🤣Wanakula wali maharage hapo unanukiaaaa hadi mtaa wa saba...
Unarudi bafuni na machozi, chozi linakua ni kulilia wali huo
Bro kwemaUkilibebea maji unatembea linakuyumbisha yumbisha lilikua halina balance kabisa kulibeba kwa kichwa.....