Vera ginger
JF-Expert Member
- Dec 25, 2016
- 1,458
- 1,887
Hii ni kweliMh mi jana nmeota kuna m2 kaja kaingia ndan kajfunika shuka ckumbuk lang gan kasmama pembeni ya ktanda akaanza kunpulza upepo mkali sanau unapuliza kama feni hv nmepga kelele kwa muda mlefu nilpokuja kush2ka du pumz ipo juu had naogopa hata kulala
Inatakiwa uombe sana na kukemea hii ndoto
If christian ita damu Yesu unyunyize hilo eneo
Sent using Jamii Forums mobile app