Ugiligili
JF-Expert Member
- Jun 20, 2014
- 3,023
- 4,055
Habarini za saa hizi wakuu..
Bila kupoteza muda usiku wa kuamkia leo nimeota natapika mapande ya nyama iliyopikwa na kuna mtu pembeni yangu(simkumbuki) ndiye aliyekuwa ananambia nifanye hivyo na kwa wakati huo tumbo lilikuwa kama limevimba(kujaa) hivi..nimeshindwa kuelewa..
Pia kwa muda mrefu sasa nimekuwa nikimuota mtu wangu mmoja wa karibu ambaye alishafariki tangu 2011 lkn toka kipindi hicho haipiti miezi miwili au mitatu sijamuota..
Naombeni mnisaidie wakuu kwa anayefahamu juu ya hili..shukrani.
Bila kupoteza muda usiku wa kuamkia leo nimeota natapika mapande ya nyama iliyopikwa na kuna mtu pembeni yangu(simkumbuki) ndiye aliyekuwa ananambia nifanye hivyo na kwa wakati huo tumbo lilikuwa kama limevimba(kujaa) hivi..nimeshindwa kuelewa..
Pia kwa muda mrefu sasa nimekuwa nikimuota mtu wangu mmoja wa karibu ambaye alishafariki tangu 2011 lkn toka kipindi hicho haipiti miezi miwili au mitatu sijamuota..
Naombeni mnisaidie wakuu kwa anayefahamu juu ya hili..shukrani.