Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sio kweli. Ndoto haina muda maalumu wa kuisha, hutegemea na aina ya tukio ndoto unaloliota.ndoto huchukua mda usiozidi dakika 1, ngoja nikumbuke halaf ntarud kutililika kuanzia mwanzo wa kulala hadi kuamka,
Unawakati mgumu, mimi huota ndoto kama zako, namaanisha kujitambua kuwa sasa naota, baada ya hapo huwa naamua kufanya lolote iwe kupiga polisi au uchokozi wowote niutakao na nikizidiwa ktk mapambano hujiamulia tu kustuka na kuwaacha wabaya wangu huko huko tulipokuwa tunapambana.Haya mambo ni yaajabu sana ndugu, Mimi huwa nikiota ndoto mbaya huwa najiuliza hivi hapa niko kwenye ndoto au ni kawaida, maana nikijiuliza tu hivo huwa nakurupuka na kujihakikishia kuwa ulikuwa ni uongo.
Sasa siku moja nikiwa nimeajiriwa kwenye duka fulani nikaota bosi wangu amenipa pikipiki nipeleke ela kwa mfanyabiashara mwenzake kiasi cha sh milioni 13, nikawasha boxer nikaondoka, nilipofika njiani nikamgonga mtoto akafa palepale, pikipiki ikasambaratika na nikijicheck mfukoni ile ela haipo.
Ile tabia yangu ya kujitingisha na kujiuliza kama naota niliijaribu tena lakini haikusaidia nikaona huu ni uhahisia na sio ndoto.
Nikajikatia tamaa kabisa nikaona habari yangu kwisha, nikajaribu tena kujiuliza naota au lah ndio nikakurupuka nikakuta ilikuwa ni ndoto tu.
Nikashukuru sana nikaendelea na maisha kama mwaka mmoja na nusu ambapo ndani ya hapo nilifanya mambo mengi ya maendeleo na mikasa midogomidogo, pia hata kukua niliona nimekuwa kidogo kimwili na kiakili. Lakini Kumbe ilikuwa ndoto ndani ya ndoto,
(Nikakurupuka tena nikayaendeleza maisha pale nilipoachia/pale kabla ile ndoto ya kupewa ela na pikipiki nipeleke kwa mfanyabiashara mwenzake na bosi wangu haijanitokea) nikaendelea na maisha hadi nilipoacha kazi na hadi leo naendelea na maisha.
Kwasasa sijui kama nipo ndotoni au lah. Hata wewe hapo unaesoma hii comment hujui upo ndotoni au ni uhahisia, kama unabisha hebu dhibitisha uko upande gani.
Sidhani kama ni kweli, kuna kipindi nilikuwa na uwezo wa kuota ndoto mfano nipo na mtu au watu sehemu au kijiweni tunajadili jambo, kabla halijaisha nikabanwa na haja ndogo, basi mimi huwaaga watu hao kuwa naenda kukojoa, hapo hugutuka ndotoni na kujipata ninamkojo kweli, natoka kwenda kukojoa nje na kurejea kitandani na ndani ya muda kidogo tu hupitiwa na usingizi na kwenda kuendelea na kijiwe changu na mtu au watu walewale na stori ileile. Sasa ukiniambia ndoto ni chini ya dakika moja ilhali mkojo haumbani mtu ndani ya dakika 1 napata walakini.Ndoto halisi haizidi dakika 1, tofauti na hapo ni maruerue. Kuota kunatumia nishati nyingi kutoka kwa ubongo. Ikizidi dk 1 mtu anaweza kufa.
Mkuu ni hatari sasa namn hyo watu wasingelalami ningependa zile za kujichafua shukani zidumu hata masaa manne
Hahahahahaa. Kaka umetisha. Hata mimi hapa sijijui kama nimefurah kiuhalisia au ni ndoto.Haya mambo ni yaajabu sana ndugu, Mimi huwa nikiota ndoto mbaya huwa najiuliza hivi hapa niko kwenye ndoto au ni kawaida, maana nikijiuliza tu hivo huwa nakurupuka na kujihakikishia kuwa ulikuwa ni uongo.
Sasa siku moja nikiwa nimeajiriwa kwenye duka fulani nikaota bosi wangu amenipa pikipiki nipeleke ela kwa mfanyabiashara mwenzake kiasi cha sh milioni 13, nikawasha boxer nikaondoka, nilipofika njiani nikamgonga mtoto akafa palepale, pikipiki ikasambaratika na nikijicheck mfukoni ile ela haipo.
Ile tabia yangu ya kujitingisha na kujiuliza kama naota niliijaribu tena lakini haikusaidia nikaona huu ni uhahisia na sio ndoto.
Nikajikatia tamaa kabisa nikaona habari yangu kwisha, nikajaribu tena kujiuliza naota au lah ndio nikakurupuka nikakuta ilikuwa ni ndoto tu.
Nikashukuru sana nikaendelea na maisha kama mwaka mmoja na nusu ambapo ndani ya hapo nilifanya mambo mengi ya maendeleo na mikasa midogomidogo, pia hata kukua niliona nimekuwa kidogo kimwili na kiakili. Lakini Kumbe ilikuwa ndoto ndani ya ndoto,
(Nikakurupuka tena nikayaendeleza maisha pale nilipoachia/pale kabla ile ndoto ya kupewa ela na pikipiki nipeleke kwa mfanyabiashara mwenzake na bosi wangu haijanitokea) nikaendelea na maisha hadi nilipoacha kazi na hadi leo naendelea na maisha.
Kwasasa sijui kama nipo ndotoni au lah. Hata wewe hapo unaesoma hii comment hujui upo ndotoni au ni uhahisia, kama unabisha hebu dhibitisha uko upande gani.
Dah kuna kitu kinanishangaza kwenye ndoto, yaana unaota ndoto juu ya ndoto, kwa hiyo una kazi ya kutafakari ndoto 2 kwa wakati mmoja
Nimeisoma zaidi ya mara mbili hii comment...Haya mambo ni yaajabu sana ndugu, Mimi huwa nikiota ndoto mbaya huwa najiuliza hivi hapa niko kwenye ndoto au ni kawaida, maana nikijiuliza tu hivo huwa nakurupuka na kujihakikishia kuwa ulikuwa ni uongo.
Sasa siku moja nikiwa nimeajiriwa kwenye duka fulani nikaota bosi wangu amenipa pikipiki nipeleke ela kwa mfanyabiashara mwenzake kiasi cha sh milioni 13, nikawasha boxer nikaondoka, nilipofika njiani nikamgonga mtoto akafa palepale, pikipiki ikasambaratika na nikijicheck mfukoni ile ela haipo.
Ile tabia yangu ya kujitingisha na kujiuliza kama naota niliijaribu tena lakini haikusaidia nikaona huu ni uhahisia na sio ndoto.
Nikajikatia tamaa kabisa nikaona habari yangu kwisha, nikajaribu tena kujiuliza naota au lah ndio nikakurupuka nikakuta ilikuwa ni ndoto tu.
Nikashukuru sana nikaendelea na maisha kama mwaka mmoja na nusu ambapo ndani ya hapo nilifanya mambo mengi ya maendeleo na mikasa midogomidogo, pia hata kukua niliona nimekuwa kidogo kimwili na kiakili. Lakini Kumbe ilikuwa ndoto ndani ya ndoto,
(Nikakurupuka tena nikayaendeleza maisha pale nilipoachia/pale kabla ile ndoto ya kupewa ela na pikipiki nipeleke kwa mfanyabiashara mwenzake na bosi wangu haijanitokea) nikaendelea na maisha hadi nilipoacha kazi na hadi leo naendelea na maisha.
Kwasasa sijui kama nipo ndotoni au lah. Hata wewe hapo unaesoma hii comment hujui upo ndotoni au ni uhahisia, kama unabisha hebu dhibitisha uko upande gani.