Ndoto Juu ya nchi Yangu (I have a Dream )

Ndoto Juu ya nchi Yangu (I have a Dream )

BIG STONE AND CONER STONE

JF-Expert Member
Joined
Mar 11, 2023
Posts
421
Reaction score
728
Naota kuna Raisi Ajaye ambaye Atakuwa zaidi Ya Magu🔒 Kwa tabia ma Matendo ila sio mwongeaji ni vitendo tu.
Kwa matendo na kwa kusimamia sharia, misimamo mikali.
Ataunda uchunguzi wa karbu kila kitu' mikataba yote..uhalali wake , faida na hasara zake.
Atafumua mikataba yote Ya kinyonyaji kuanzia awamu ya tatu 3.
Atatunga sheria za kuwashataki viongozi, waliokuwepo maradarakani..wastaafu walio Tenda vibya wakiwa madarakani.
Atakuwa na Mkono wa chuma wa kijasusi kuwafuata wabaya wa nchi popote pale walipo duniani kupitia mifumo ya kijasusi atakayo unda yeye mwenyewe.
Baadhi Maeneo ya Elimu yake yatakuwa na utata Baadhi sio kote.
Atakuwa kama ni mpole au mtu wa kidini lakini sio uhalisia wake.
Atakuwa ni mwana inteligecia Sana
Atapungaza madaraka ya uraisi kwa Baadhi ya maeneo kama uteuzi wa viongozi wa mashirika ya umma .watapitishwa bungeni sio kwa uteuzi.
Mikoa inayojiweza kiuchumi ataipa utawala majimbo.
Ataunda urafiki na taifa la Ujeruman na china.
Ni mtu serious na Asie na mizaha, Mizaha ...
A dictator looks Alike Person.
Ni ndoto tu.
Niishie Hapo.
I have Dream alisema martin luther juu ya Taifa la Marekani kutawaliwa na kiongozi mweusi kweli Akaja Obama .
Na mm ni ndoto tu wala cjilinganishi na martin luther
Nope.
.............
Ni Ndoto tu hata ww unarusiwa kuota uotavyo mjumbe..hapigwi ,hapingwi..ila ujumbe wake unaweza kuupinga na kuukataa pia.
.....
 
J
Naota kuna Raisi Ajaye ambaye Atakuwa zaidi Ya Magu🔒 Kwa tabia ma Matendo ila sio mwongeaji ni vitendo tu.
Kwa matendo na kwa kusimamia sharia, misimamo mikali.
Ataunda uchunguzi wa karbu kila kitu' mikataba yote..uhalali wake , faida na hasara zake.
Atafumua mikataba yote Ya kinyonyaji kuanzia awamu ya tatu 3.
Atatunga sheria za kuwashataki viongozi, waliokuwepo maradarakani..wasatafu walio Tenda vibya.
Atakuwa na Mkono wa chuma wa kijasusi kuwafuata wabaya wa nchi popote pale walipo duniani kupitia mifumo ya kijasusi atakayo unda.
Baadhi Maeneo ya Elimu yake yatakuwa na utata Baadhi sio kote.
Atakuwa kama ni mpole au mtu wa kidini lakini sio uhalisia wake.
Atakuwa ni mwana inteligecia Sana
Atapungaza madaraka ya uraisi kwa Baadhi ya maeneo kama uteuzi wa viongozi wa mashirika ya umma .watapitishwa bungeni sio kwa uteuzi.
Mikoa inayojiweza kiuchumi ataipa utawala majimbo.
Ataunda urafiki na taifa la Ujeruman na china.
Ni mtu serious na Asie na mizaha, Mizaha ...
A dictator looks Alike Person.
Ni ndoto tu.
Niishie Hapo.
I have Dream alisema martin luther juu ya Taifa la Marekani kutawaliwa na kiongozi mweusi kweli Akaja Obama .
Na mm ni ndoto tu wala cjilinganishi na martin luther
Nope.
.............
Ni Ndoto tu hata ww unarusiwa kuota uotavyo mjumbe..hapigwi ,hapingwi..ila ujembe wake unaweza kuupinga na kuukataa pia.
.....
"Jiwe" alifuata sheria zipi ñdugu
 
Ccm haitakubali tena kiti achukue mwenye itikadi za kimagufuli
 
BILA SHAKA NI MIMI NA INSHAALLAH SIO SIKU NYINGI SANA.

Kuna moja umelisahau, NITAUA WAJINGA WENGI SANA NA FAMILIA ZAO AMBAZO ZINAONA ZINA HAKI NA HII NCHI KULIKO WENGINE.

VILAZA MARUFUKU KWENYE UTAWALA WANGU.
 
Naota kuna Raisi Ajaye ambaye Atakuwa zaidi Ya Magu🔒 Kwa tabia ma Matendo ila sio mwongeaji ni vitendo tu.
Kwa matendo na kwa kusimamia sharia, misimamo mikali.
Ataunda uchunguzi wa karbu kila kitu' mikataba yote..uhalali wake , faida na hasara zake.
Atafumua mikataba yote Ya kinyonyaji kuanzia awamu ya tatu 3.
Atatunga sheria za kuwashataki viongozi, waliokuwepo maradarakani..wastaafu walio Tenda vibya wakiwa madarakani.
Atakuwa na Mkono wa chuma wa kijasusi kuwafuata wabaya wa nchi popote pale walipo duniani kupitia mifumo ya kijasusi atakayo unda yeye mwenyewe.
Baadhi Maeneo ya Elimu yake yatakuwa na utata Baadhi sio kote.
Atakuwa kama ni mpole au mtu wa kidini lakini sio uhalisia wake.
Atakuwa ni mwana inteligecia Sana
Atapungaza madaraka ya uraisi kwa Baadhi ya maeneo kama uteuzi wa viongozi wa mashirika ya umma .watapitishwa bungeni sio kwa uteuzi.
Mikoa inayojiweza kiuchumi ataipa utawala majimbo.
Ataunda urafiki na taifa la Ujeruman na china.
Ni mtu serious na Asie na mizaha, Mizaha ...
A dictator looks Alike Person.
Ni ndoto tu.
Niishie Hapo.
I have Dream alisema martin luther juu ya Taifa la Marekani kutawaliwa na kiongozi mweusi kweli Akaja Obama .
Na mm ni ndoto tu wala cjilinganishi na martin luther
Nope.
.............
Ni Ndoto tu hata ww unarusiwa kuota uotavyo mjumbe..hapigwi ,hapingwi..ila ujumbe wake unaweza kuupinga na kuukataa pia.
.....
😂😂😂😂😂hiyo ya mchongo
 
Hiyo ndoto hata isipotimia. Watanzania inatakiwa kujipigania wenyewe. Serikali ni kikundi cha watu wacahache. Wananchi ni wengi.

Kupigania Katiba mpya, kuchagua wabunge watakaoisimamia Serikali ipasavyo. Kupambania sheria kali ambazo kiongozi akiteleza kaondoka. Mahakama zijisimamie na ziwe na meno.
 
Akiondoka atatuachia bunge la aina gani?
 
Back
Top Bottom