NDOTO KUBWA ILIYOMUUBAKIA INAMUUMIZA PEP GUADIORA GENIUS

FK21

JF-Expert Member
Joined
May 27, 2019
Posts
8,600
Reaction score
10,760
Akihojiwa na kituo kimoja cha Tv huko Uingereza anapoulizwa baada ya kushinda TREBLEE na man City kipi kimebakia akanuuukuu " TO SCORE A GAOL AWAY AGAINST SPURS AND WIN A GAME"

wataalamu wa statistics na wafuatiliaji wa mpira naomba mje ku clarify je ni kweli man city hajawahi kupata goal away against Spurs na ku shida mechi?
 
Moderator naomba mbadilishe heading isomeke iliyobakia
 
Huwa magoli anapata lakini hajawahi kuibuka na ushindi katika uwanja wa Spurs katika mechi za ligi.

Ni kama Jose Mourinho alivyokuwa anastruggle kupata ushindi St. James’ Park
 
Huwa magoli anapata lakini hajawahi kuibuka na ushindi katika uwanja wa Spurs katika mechi za ligi.

Ni kama Jose Mourinho alivyokuwa anastruggle kupata ushindi St. James’ Park
Aisee hapo sawa nmekuelewa mkuu
 
Mak*ma mno

BAN ina kuhusu mkuu [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji16][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji19][emoji23][emoji23][emoji19]
 
Spurs amejenga uwanja mpya ,Toka huo uwanja ujengwe man city hatujawahi kushinda wa wala kufunga hata goli Moja hapo ...
 
Waite tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…