Then do something. Kawaida ukiota ndoto kama hizo ni kwamba Mungu anakutumia ujumbe kuwa kuna jambo linakuja.God forbid aisee. I still love my smart kwakweli
OK, hongereni na kila la heriSerious mkuu sio utani
Pole sana mpenzi kwa ndoto yako mm huwa nikiota baadhi ya vitu badae vinanitokea Mungu akufanyie wepesi tu na usiwe mbali na Mungundoto hizi jamani!!