ndoto nyingine nazo bwana!!

ndoto nyingine nazo bwana!!

Siao

Member
Joined
Jan 4, 2008
Posts
96
Reaction score
3
Basi usiku acha nipate shida kwenye ndoto...., eti kwa sababu mkuu wa mkoa wa arusha ni matilda buriani, acha nipambane na giza hilo nene... nataka kuvunja screen ya tv iliyokuwa inatangaza ...mpaka nashtuka, nakuta aa kumbe nilikuwa naota tu..tena hata mawaziri hawajatangazwa.. mbona nimeamua tu kuamka nikajinywea zangu chai.... mpaka pakakucha!

nikasema afazaaaaali ilikuwa ndoto!!
 
Basi usiku acha nipate shida kwenye ndoto...., eti kwa sababu mkuu wa mkoa wa arusha ni matilda buriani, acha nipambane na giza hilo nene... nataka kuvunja screen ya tv iliyokuwa inatangaza ...mpaka nashtuka, nakuta aa kumbe nilikuwa naota tu..tena hata mawaziri hawajatangazwa.. mbona nimeamua tu kuamka nikajinywea zangu chai.... mpaka pakakucha!

nikasema afazaaaaali ilikuwa ndoto!!

YOUR DREAM WILL COME TRUE! :redfaces::redfaces::whoo: COZ JK IS ALWAYS AWAKE, NOT TO LET HIS FELLOWS DOWN!
POLE SANA KWA KUOTA MAJINAMIZI!
 
Pole sana kwa kuota majinamizi,siku nyingine ota ndoto nzuri nzuri kama Dr Slaa yuko ikulu,Magufuli waziri mkuu,Makamba hauseboy,n.k
 
Basi usiku acha nipate shida kwenye ndoto...., eti kwa sababu mkuu wa mkoa wa arusha ni matilda buriani, acha nipambane na giza hilo nene... nataka kuvunja screen ya tv iliyokuwa inatangaza ...mpaka nashtuka, nakuta aa kumbe nilikuwa naota tu..tena hata mawaziri hawajatangazwa.. mbona nimeamua tu kuamka nikajinywea zangu chai.... mpaka pakakucha!

nikasema afazaaaaali ilikuwa ndoto!!

duh...pia wanasemaga ukiota unakufakufa halafu usipostuka ndo unakufa kiukweli ukweli so angalia bana, ohooo...
 
Kweli Makamba anafaa kuwa House boy (Bingwa wa kujambia mawingu)
 
Back
Top Bottom