NDOTO: Rais Magufuli kutawala awamu moja tu...


It was a Shadowing Conspiracy Propaganda.
It seems like you are Undercover Agent!
 
Wana Jf wenzangu......!!

Leo ni mara ya 3 nikitokewa na ndoto kuwa Rais wa JPM atakuwa kiongozi pekee atakayeliongoza Taifa kwa kipindi cha Miaka 5 tu na sababu pekee ni kwamba atapigwa chini katika mchakato wa kumpata mgombea ndani ya chama chake.

Hii ni kutokana na makundi mengi ambayo yameanza kujipanga kwa kutumia mbinu mbalimbali ndani ya chama kwani wengi wao awapendezwi na aina ya utawala anaoendelea nao kwa sasa ndani ya chama na Taifa.

Ni hayo tu nimeona niwashirikishe....!!

Tuletee na Utabili wa Mama Abdul. Ndoto yako inasemaje....!!?
 
Wanaotusumbua nchini Ni watu wa pwani na unafiki wao. Mi nakwambia mtakuja kuelewa ninachoongea.

Sina maana yakuleta mgawanyiko hasha! Lakini ukombozi wakweli wa nchi yetu utatoka bara. Maana watu wa pwani kwanza Ni wavivu alafu wanajifanya kuuweza uongozi lkn kiuhalisia hawauwezi na wanafanya kila mbinu kudhoofisha juhudi za wa bara wenye Nia ya ujenzi kwa kuhofu yakuteseka kutokana na uvivu wao.

Siku watu wa bara wakina kusanuka tutarudi na mrejesho hapa.
 
Wanaotusumbua nchini Ni watu wa pwani na unafiki wao. Mi nakwambia mtakuja kuelewa ninachoongea.

Sina maana yakuleta mgawanyiko hasha! Lakini ukombozi wakweli wa nchi yetu utatoka bara. Maana watu wa pwani kwanza Ni wavivu alafu wanajifanya kuuweza uongozi lkn kiuhalisia hawauwezi na wanafanya kila mbinu kudhoofisha juhudi za wa bara wenye Nia ya ujenzi kwa kuhofu yakuteseka kutokana na uvivu wao.

Siku watu wa bara wakija kusanuka tutarudi na mrejesho hapa
 
Hebu tulia, dhalimu hayupo.
 
Ndoto Yako imetimia ila Mama Abdul,ndiye mchezaji mzuri aliyeifanikisha
 
Alafu mtu anakuja kuropoka oooh! Mungu hayupo. Shwain!
 
Daah! Hizi akili au kamasi?
 
Wana Jf wenzangu......!!

Leo ni mara ya 3 nikitokewa na ndoto kuwa Rais wa JPM atakuwa kiongozi pekee atakayeliongoza Taifa kwa kipindi cha Miaka 5 tu
Mkuu @TangataUnyakeWasu,
nimekuvulia kofia!,upewe maua yako!。 ile siku umepandisha bandiko hili, nilikupinga na kuuita ni ndoto ya uongo!, NDOTO: Rais Magufuli kutawala awamu moja tu...
kumbe。。。!。
kiukweli humu tuna manabii。。。 Tanzania tulipo Sipo!. Nabii Hakubaliki Nyumbani, JF Tuna Manabii wa Kweli, Tuwatumie Walisaidie Taifa!
P
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…