John Wickzer Mulholland
JF-Expert Member
- Apr 13, 2023
- 6,656
- 14,403
It was a Shadowing Conspiracy, hakuna Cha ndoto Wala NiniNimekuvulia kofia!,upewe maua yako!
P
Pascal MayallaMkuu @TangataUnyakeWasu, hiyo ndoto yako ni ndoto ya ajabu sana, ambayo inakupa hadi the reasons behind!.
Kwa kawaida ndoto huwa unaoteshwa kitu lakini bila majibu, halafu majibu yatakuja kupatikana kwenye tafsiri ya ndoto hiyo.
Nilitegemea ungesema hii ni mara ya tatu unaoteshwa kuwa rais Magufuli ni one term president.
Ndoto za aina hii nyingine huwa ni sauti ya Mungu au maono. Mungu akikuotesha jambo, hakupi majibu bali utaona tuu matokeo, sasa wewe na hii ndoto yako imekuambia Magufuli atapigwa chini na mchakato wa ndani wa CCM? . Kwani CCM huwa inamchakato wa ndani kabla ya miaka 10?. Kwa kukusaidia tuu wewe na hiyo ndoto yako ya uongo, CCM haina mchakato wa ndani wa urais kwa mwaka 2020 bali aliyepo huendelea, hakuna hata utoaji wa fomu! .
Kama ungesema Mungu amekuotesha bila kukupa sababu, hiyo ndio ingeweza kuwa ni ndoto ya kweli ya maono kama ile ndoto ya Lema.
Paskali
Matendo yake yanaonyesha kuwa Magufuli hakustahili kuwa Rais wa Taifa hili. Makosa yakiyofanywa na CC ya CCM mwaka 2015 yalikuja kusahiishwa na Mungu mwenyewe tarehe 17/03/ 202qMungu alikwambia kuwa kamkataa Magufuli?
Cheti feki bhanaMatendo yake yanaonyesha kuwa Magufuli hakustahili kuwa Rais wa Taifa hili. Makosa yakiyofanywa na CC ya CCM mwaka 2015 yalikuja kusahiishwa na Mungu mwenyewe tarehe 17/03/ 202q
Hapo alikuwa ndio anapitia masaibu ya ile kampuni yake baada ya lile swali lake kwa mfalme mwendawazimu, hivyo ilibidi ainue mikono juu na kuunga mkono mataga.Hebu tulia, dhalimu hayupo.
🤣Kwenda huko. Kwa sasa hakuna makundi kwenye chama. Na pia kati ya maraisi waliotawala tanzania ukiondoa nyerere, huyu ndo anakubalika kuliko wote
🤣tatizo lila jambo mnatanguliza ushabiki na uchawaMagufuli ataendelea kuwa rais kwa miaka 10. Tena binafsi natamani hata awe rais kwa miaka 20 au zaidi maana Tanzania tulihitaji rais kwa ma huyu tokea miaka mingi ilopita. Kwa nyie wazembe msiotaka kula kwa jasho ndo mnamchukia. Ila sisi ambao tulitamani atawle hata kabla hajachukua form ya kugombea ndo tunampenda na tunamwombea asubuhi na usiku.
Sisi wengine tunapendekeza tubadili katiba hata baada ya miaka kumi
Sio kwa kura za kwenye SandukuUzuri wa sisi wabongo, mnamponda JPM ila zikipigwa kura ni kiongozi gani mnayemkubali bado anashinda huyo huyo JPM 😂
Tena MkubwaUlozi huu
Kwan kwenye kura za sanduku zipi aliwahi kushindwa?Sio kwa kura za kwenye Sanduku
Zile zilikuwa za mapolisi na zingine wanakojua waoKwan kwenye kura za sanduku zipi aliwahi kushindwa?
Sawa, hizo za mapolisi alishinda au alishindwa?Zile zilikuwa za mapolisi na zingine wanakojua wao
Hajaonekana jf tangu june 2018!Lete na ndoto nyingine
Nakuamuru utuambie alipo Magu...Wana Jf wenzangu......!!
Leo ni mara ya 3 nikitokewa na ndoto kuwa Rais wa JPM atakuwa kiongozi pekee atakayeliongoza Taifa kwa kipindi cha Miaka 5 tu na sababu pekee ni kwamba atapigwa chini katika mchakato wa kumpata mgombea ndani ya chama chake.
Hii ni kutokana na makundi mengi ambayo yameanza kujipanga kwa kutumia mbinu mbalimbali ndani ya chama kwani wengi wao awapendezwi na aina ya utawala anaoendelea nao kwa sasa ndani ya chama na Taifa.
Ni hayo tu nimeona niwashirikishe....!!
😆😆😆😆Nakuamuru utuambie alipo Magu...