Punguzza unafiki wewe wa siku ile sio wewe wa leoNo mimi ni kozi mwana mandanda, kulala njaa kupenda.
Paskali
Mimi ndiye yule yule juzi, jana na leo formular yangu ni moja tuu, to say nothing but the truth. Nasema ukweli daima no matter what bila kujali ukweli huo utamfurahisha nani au utamuudhi nani! .Punguzza unafiki wewe wa siku ile sio wewe wa leo
Kwa nini watu wanajitoa ufahamu? Yeye kaota ndoto na kuendelea kulala, asubuhi kaamua kutuhabarisha ndoto yake. Sasa tunabishana na ndoto au muota ndoto?Sio bure una matatizo.
acha niheshimu hisia zako, ingawa zina makando kandoMimi ndiye yule yule juzi, jana na leo formular yangu ni moja tuu, to say nothing but the truth. Nasema ukweli daima no matter what bila kujali ukweli huo utamfurahisha nani au utamuudhi nani! .
Paskali
Kwa mujibu wa familia yenuKwenda huko. Kwa sasa hakuna makundi kwenye chama. Na pia kati ya maraisi waliotawala tanzania ukiondoa nyerere, huyu ndo anakubalika kuliko wote
Wana Jf wenzangu......!!
Leo ni mara ya 3 nikitokewa na ndoto kuwa Rais wa JPM atakuwa kiongozi pekee atakayeliongoza Taifa kwa kipindi cha Miaka 5 tu na sababu pekee ni kwamba atapigwa chini katika mchakato wa kumpata mgombea ndani ya chama chake. Hii ni kutokana na makundi mengi ambayo yameanza kujipanga kwa kutumia mbinu mbalimbali ndani ya chama kwani wengi wao awapendezwi na aina ya utawala anaoendelea nao kwa sasa ndani ya chama na Taifa.
Ni hayo tu nimeona niwashirikishe....!!
Hehehehe umejuaje kama anakubalika? ?Kwenda huko. Kwa sasa hakuna makundi kwenye chama. Na pia kati ya maraisi waliotawala tanzania ukiondoa nyerere, huyu ndo anakubalika kuliko wote
Mkuu hii ndoto yako umeiota mchana kweupeee bila hata lepe la usingizi. Hii kitu haiwezi kutokea. CCM siyo kama vyama vingine. Wao zimwi likujualo halikuli likakwisha. Ota ndoto nyingine mkuu si hii.Wana Jf wenzangu......!!
Leo ni mara ya 3 nikitokewa na ndoto kuwa Rais wa JPM atakuwa kiongozi pekee atakayeliongoza Taifa kwa kipindi cha Miaka 5 tu na sababu pekee ni kwamba atapigwa chini katika mchakato wa kumpata mgombea ndani ya chama chake. Hii ni kutokana na makundi mengi ambayo yameanza kujipanga kwa kutumia mbinu mbalimbali ndani ya chama kwani wengi wao awapendezwi na aina ya utawala anaoendelea nao kwa sasa ndani ya chama na Taifa.
Ni hayo tu nimeona niwashirikishe....!!
Ellyrehema , acha kuandika uongo, lifuguma alipata kura million 8 tu na Lowasa alipata million 6. Huko kukubalika kumetokea wapi ?Kwenda huko. Kwa sasa hakuna makundi kwenye chama. Na pia kati ya maraisi waliotawala tanzania ukiondoa nyerere, huyu ndo anakubalika kuliko wote
Hawezi kujua hilo, bado ni teenager .Unaweza kutueleza kati ya Maraisi wote waliowahi kutawala Tanzania hii, ni yupi aliyejaribiwa kupinduliwa mara nyingi?
Endelea kuota tu
USA[emoji23]Niende wapi mkuu
Yeye sio malaika..!!! Nadhani ulitaka kumalizia kwmb "Yeye ni Shetani" ila umejicheki kwny akaunti ukaona mil 7 haifiki. [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1]Mi nawashangaa sana watanzania. Tuna rais ambaye africa nzima akigombea urais anashinda. Then nchini kwake anaonekana kituko. Binafsi huwa naumia sana ninapoona mtu anambeza rais. Amefanya mangapi mazuri then mnakuja kumdisqualify kwa vitu vidigo sana. Ikumbukwe yeye si malaika, hivyo anaweza kukosea ama kufanya jambo ambalo wewe ama nyie hamkupendezwa nalo.
Baadhi ya pipo,call them VylazerKwani anayewakamata lema na tundu ni raisi?. Sasa naanza kujua uwezo wenu wa kuchanganua amambo ukoje
Nafikri nakubaliana na wewe kwa kiasi kikubwa. Nimegundua huku mitaani watu wa kawaida wanamkubali sana JPM, na kule maofisini, wale wa kada ya chini wana mkubali sana, ila lile daraja la juu ndio wanaotoa malalamiko.Kwenda huko. Kwa sasa hakuna makundi kwenye chama. Na pia kati ya maraisi waliotawala tanzania ukiondoa nyerere, huyu ndo anakubalika kuliko wote
NyerereUnaweza kutueleza kati ya Maraisi wote waliowahi kutawala Tanzania hii, ni yupi aliyejaribiwa kupinduliwa mara nyingi?