ellyrehema
JF-Expert Member
- Jan 13, 2012
- 1,197
- 1,017
Duniani kote matibabu ya bure hayapo. Yalikuwa hapa nchini tu. Kata bima mzee acha kupenda vya bure kama mwanamkeNdege zina muda wa masaa ya kuruka yakifika hata kama ni nzima lazima itolewe kwenye services. Sasa ni ndege gani ya atc iliyokuwa ikifanya safari hapa nchini ama nje ya nchi