NDOTO: Rais Magufuli kutawala awamu moja tu...

NDOTO: Rais Magufuli kutawala awamu moja tu...

Kafanya yapi mazuri?iv unajua nafasi za u DC zmeisha..?
Nimeshayataja mazuri baadhi. Mkayasima. So kama kuna mabaya unayafaham rais amefanya na wewe utuambie. Na kama utashindwa basi wewe ni mnafiki una chuki binafsi na rais wetu mpendwa
 
Nimeshayataja mazuri baadhi. Mkayasima. So kama kuna mabaya unayafaham rais amefanya na wewe utuambie. Na kama utashindwa basi wewe ni mnafiki una chuki binafsi na rais wetu mpendwa
Hebu meza ugali Kwanza ndo unijibu vizuri ...nimekuuliza hujanijibu
 
Wazee wa Kariakoo walijaribu Kumpindua lakini wakashindwa naye akawafuta kwenye historia

Hans Pope ni Mzee wa Kariakoo pia?


Swali langu hujalijibu. Lisome tena:

Unaweza kutueleza kati ya Maraisi wote waliowahi kutawala Tanzania hii, ni yupi aliyejaribiwa kupinduliwa mara nyingi?
 
Ooo kibibi upo?. Lengo lako kama kawaida ni kumlenga Marehemu Raisi Nyerere. Chuki yako kwa huyo mzee ambae leo hii hayupo duniani inashangaza sana. Kwanza kibibi wewe nikueleze kwamba majaribio ya mapinduzi si kiegezo cha kipimo kwa utawala bora wa nchi. Hiyo hutokana na na hali ya kisiasa ya kiujumla duniani ilivyo. Kipind cha uongozi wa hayati Nyerere, kilikuwa kipindi cha vita kali vya baridi kati ya mataifa ya mrengo wa kushoto na wakulia. Mataifa makubwa ya yalisababisha kuangushwa kwa serekali mbali mbali hasa Africa na majaribio kabao ya kupindua serekali, na hata kufanikisha kuuwawa kwa baadhi ya viongozi wa nchi za Africa. Kipindi cha Nyerere kama sikosei yalifanyika majaribio mawili, lakini watuhumiwa walifikishwa mahakamani kama sheria na katiba inavyohitaji, na sheria ikachukua mkondo wake. Sikumbuki kusikia kama kuna adhabu ya kifo ilitekelezwa kwa waliokutwa na hatia. Tofauti kabisa na yanayo onekana siku hizi, watu kung'olewa meno, kuteswa, ama kupotezwa bila ya maelezo pale wanapotuhumiwa kwenda kinyume na utawala ama kutoa mawazo yanayo pishana na utawala.


Chuki yuko wapi hapo? Nimeuliza swali wewe unaanza kuhororoja na kubwabwaja bila mpango.

Jibu swali:

Unaweza kutueleza kati ya Maraisi wote waliowahi kutawala Tanzania hii, ni yupi aliyejaribiwa kupinduliwa mara nyingi?
 
Mi nawashangaa sana watanzania. Tuna rais ambaye africa nzima akigombea urais anashinda. Then nchini kwake anaonekana kituko. Binafsi huwa naumia sana ninapoona mtu anambeza rais. Amefanya mangapi mazuri then mnakuja kumdisqualify kwa vitu vidigo sana. Ikumbukwe yeye si malaika, hivyo anaweza kukosea ama kufanya jambo ambalo wewe ama nyie hamkupendezwa nalo.
nikweli mkuu!
 
Wana Jf wenzangu......!!

Leo ni mara ya 3 nikitokewa na ndoto kuwa Rais wa JPM atakuwa kiongozi pekee atakayeliongoza Taifa kwa kipindi cha Miaka 5 tu na sababu pekee ni kwamba atapigwa chini katika mchakato wa kumpata mgombea ndani ya chama chake.

Hii ni kutokana na makundi mengi ambayo yameanza kujipanga kwa kutumia mbinu mbalimbali ndani ya chama kwani wengi wao awapendezwi na aina ya utawala anaoendelea nao kwa sasa ndani ya chama na Taifa.

Ni hayo tu nimeona niwashirikishe....!!
unaota saa ngapi?hizo ndoto za alinacha? Huyu hadi 2025 mwendo mdundo. Acha achape kazi. Big up Mheshimiwa Rais na Awamu ya Tano kwa ujumla.
Tuko pamoja na Serikali
 
nataman hata kesho aondolewe iwe kwa namna yoyote ile
 
Hans Pope ni Mzee wa Kariakoo pia?


Swali langu hujalijibu. Lisome tena:

Unaweza kutueleza kati ya Maraisi wote waliowahi kutawala Tanzania hii, ni yupi aliyejaribiwa kupinduliwa mara nyingi?
Kupinduliwa na nani au kwa Njia gani Maana hata Mke wake anaweza kumpindua kwa bed...

Na time na kwa ajili ani haswa tujue vyanzo na chanzo maana nachofahamu mie Utawala wa Nyerere Jeshi la Kikoloni liliasi na lilipozuiliwa likabadilishwa na kuwa Jeshi la Wananchi. Na Mambo ya Mapinduzi yalitawala sana Miaka za Zamani kuliko sasa hivi Dunia inapigia kelele maana Hakuna Raisi africa anayependa wananchi wake sawa na watu wana tamaa sana pale wakipewa uongozi yaani huamini kama wayafanyayo ndio kwa ajili ya sifa au kukomoa!

Jeshi lisipotunzwa vyema huasi kusingizia nidhamu ni dhana tu. but Majizi yakikaa Jeshini huiba we na yakizuiliwa ndipo uasi hutokea
 
Tatizo kila ndoto mnadhani ni ndoto tu!!

Everything its spirtual first.....

Najua kuna walioelewa na watachukua hatua!
Sio kubeza tu kila kitu, chukueni hatua ya kuomba!

Na kwa uliyeota,kuna wakati Mungu anakusemesha kitu ili ukifanyie kazi kwa kuomba!

Na ukiona ndoto imejirudia zaidi ya mara moja ujue kuna msisitizo hapo wa ujumbe!

Soma ,Ayubu 33:14-18
 
Kwenda huko. Kwa sasa hakuna makundi kwenye chama. Na pia kati ya maraisi waliotawala tanzania ukiondoa nyerere, huyu ndo anakubalika kuliko wote
Na wewe takataka bovu umetokea wapi? Yaani hadi Nimetapika kusoma kinyesi ulichoandika.
 
Mi nawashangaa sana watanzania. Tuna rais ambaye africa nzima akigombea urais anashinda. Then nchini kwake anaonekana kituko. Binafsi huwa naumia sana ninapoona mtu anambeza rais. Amefanya mangapi mazuri then mnakuja kumdisqualify kwa vitu vidigo sana. Ikumbukwe yeye si malaika, hivyo anaweza kukosea ama kufanya jambo ambalo wewe ama nyie hamkupendezwa nalo.
Ikiwa MUNGU mwenyewe hajawahi kufanya jambo kiasi cha kumridhisha kila mtu. Magufuli ni nani hata apendwe na kila mtu?
Ipo siku wataelewa tu
 
Chuki yuko wapi hapo? Nimeuliza swali wewe unaanza kuhororoja na kubwabwaja bila mpango.

Jibu swali:

Unaweza kutueleza kati ya Maraisi wote waliowahi kutawala Tanzania hii, ni yupi aliyejaribiwa kupinduliwa mara nyingi?

Unauliza chuki yuko wapi, wakati wewe ndio nia yako dhahiri kumdhalailisha hayati Mwalimu J.K Nyerere, huo ndio ukweli. Suala la mapinduzi nimelieleza kuwa sio kipimo cha utawala bora, ina wezekana una kichwa kigumu kuelewa.
 
Tatizo kila ndoto mnadhani ni ndoto tu!!

Everything its spirtual first.....

Najua kuna walioelewa na watachukua hatua!
Sio kubeza tu kila kitu, chukueni hatua ya kuomba!

Na kwa uliyeota,kuna wakati Mungu anakusemesha kitu ili ukifanyie kazi kwa kuomba!

Na ukiona ndoto imejirudia zaidi ya mara moja ujue kuna msisitizo hapo wa ujumbe!

Soma ,Ayubu 33:14-18
Wanaopinga bila facts wasome maandiko mkuu
 
Ha ha ha ha ha mwaka huuu kuna kila aina ya ndoto
Atakuja mwngne atasema ameota anatawala awamu tatu
 
ndoto za mchana huwa za uongo na za kishetani!


usirudie tena kuota.
 
Kwenda huko. Kwa sasa hakuna makundi kwenye chama. Na pia kati ya maraisi waliotawala tanzania ukiondoa nyerere, huyu ndo anakubalika kuliko wote
Angekubalika kuliko wote angepata 59% ya kura?
 
Nchi yetu ipo garage ina sukwa,fundi mkuu ni JPM,akimaliza tutaendesha ikiwa iko vuzuri,tusihofu kabisa=Kwa wazelendotu
 
Back
Top Bottom