Ettore Bugatti
JF-Expert Member
- Aug 28, 2017
- 4,123
- 8,242
Mtabiri ulichokosea ni namna ya staili iliyomtoa madarakani.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mtabiri ulichokosea ni namna ya staili iliyomtoa madarakani.
Wewe kaka ni mchawi..!??Atakufa nini? Maana watu hawampendi hatari
Tunafinyanga karatasi yake tunairushia kwenye dustbin.Kwa hyo tunampa max ngapi?
Tukana tu mkuu, au nguvu huna za kutukana.Nilikuwa nataka kukutukana sema basi tu.
HahahaMkuu ndoto yako inaenda kutimia kwa namna nyingine. Huu uzi lazima tuje kuufufua.
Inaonekana mwaka 2017 watu waliandika nyuzi za kiutabiri sana na kuna kila dalili hizi nyuzi kutimia. Uzi wa kwanza kutimia ni wa Nyani Ngabu juu ya Lissu na Nina uhakika huu uzi wako pia unaenda kutimia kwenye uchaguzi mkuu mwaka huu ingawa unaenda kutumia kwa Magufuli kuangushwa na upinzani ambae ni Tundu Lissu
Mtabiri wa kwanza kabisa alikuwa Mh Lissu,,alipo sema tuna raisi wa ajabu.Akasema ndie raisi atakaye tawala muongo mmoja tu.Yametimu.Wana Jf wenzangu......!!
Leo ni mara ya 3 nikitokewa na ndoto kuwa Rais wa JPM atakuwa kiongozi pekee atakayeliongoza Taifa kwa kipindi cha Miaka 5 tu na sababu pekee ni kwamba atapigwa chini katika mchakato wa kumpata mgombea ndani ya chama chake.
Hii ni kutokana na makundi mengi ambayo yameanza kujipanga kwa kutumia mbinu mbalimbali ndani ya chama kwani wengi wao awapendezwi na aina ya utawala anaoendelea nao kwa sasa ndani ya chama na Taifa.
Ni hayo tu nimeona niwashirikishe....!!
Hata Mimi natamani hivyo aisee; Na hakika Itakuwa Hivyo.Magufuli ataendelea kuwa rais kwa miaka 10.
Hata kama kwa kifo kilitakiwa kutokea kabla ya uchaguzi , ndio ungesema one termMtabiri ulichokosea ni namna ya staili iliyomtoa madarakani.
Ndoto ilitokea 2017, lakini alikufa 2021, hivyo hakupigwa chini, Bali kifo na ni Baada ya uchaguzi. Hivyo alienda muhula wa piliWana Jf wenzangu......!!
Leo ni mara ya 3 nikitokewa na ndoto kuwa Rais wa JPM atakuwa kiongozi pekee atakayeliongoza Taifa kwa kipindi cha Miaka 5 tu na sababu pekee ni kwamba atapigwa chini katika mchakato wa kumpata mgombea ndani ya chama chake.
Hii ni kutokana na makundi mengi ambayo yameanza kujipanga kwa kutumia mbinu mbalimbali ndani ya chama kwani wengi wao awapendezwi na aina ya utawala anaoendelea nao kwa sasa ndani ya chama na Taifa.
Ni hayo tu nimeona niwashirikishe....!!
Nmeshangaa sana
Uzi ulipotea August 21, 2020 ukaja kuibuliwa March 18, 2021!Acha kunifokea