NDOTO: Rais Magufuli kutawala awamu moja tu...

NDOTO: Rais Magufuli kutawala awamu moja tu...

Mkuu ndoto yako inaenda kutimia kwa namna nyingine. Huu uzi lazima tuje kuufufua.

Inaonekana mwaka 2017 watu waliandika nyuzi za kiutabiri sana na kuna kila dalili hizi nyuzi kutimia. Uzi wa kwanza kutimia ni wa Nyani Ngabu juu ya Lissu na Nina uhakika huu uzi wako pia unaenda kutimia kwenye uchaguzi mkuu mwaka huu ingawa unaenda kutumia kwa Magufuli kuangushwa na upinzani ambae ni Tundu Lissu
Hahaha
 
Wana Jf wenzangu......!!

Leo ni mara ya 3 nikitokewa na ndoto kuwa Rais wa JPM atakuwa kiongozi pekee atakayeliongoza Taifa kwa kipindi cha Miaka 5 tu na sababu pekee ni kwamba atapigwa chini katika mchakato wa kumpata mgombea ndani ya chama chake.

Hii ni kutokana na makundi mengi ambayo yameanza kujipanga kwa kutumia mbinu mbalimbali ndani ya chama kwani wengi wao awapendezwi na aina ya utawala anaoendelea nao kwa sasa ndani ya chama na Taifa.

Ni hayo tu nimeona niwashirikishe....!!
Mtabiri wa kwanza kabisa alikuwa Mh Lissu,,alipo sema tuna raisi wa ajabu.Akasema ndie raisi atakaye tawala muongo mmoja tu.Yametimu.
 
Kama binadamu inauma pale binadamu mwenzio anapofariki dunia.
Ingawa matendo yake mengi yaliudhi lakini kufa kunasikitisha.
Kama mimi nilipenda kumprove wrong akiwa yungali hai, ili tumlaumu akiwa antuona yeye mwenyewe.
Lakini mapenzi ya Mungu yatimizwe.
RIP JP Maghufuli.


Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
 
Wana Jf wenzangu......!!

Leo ni mara ya 3 nikitokewa na ndoto kuwa Rais wa JPM atakuwa kiongozi pekee atakayeliongoza Taifa kwa kipindi cha Miaka 5 tu na sababu pekee ni kwamba atapigwa chini katika mchakato wa kumpata mgombea ndani ya chama chake.

Hii ni kutokana na makundi mengi ambayo yameanza kujipanga kwa kutumia mbinu mbalimbali ndani ya chama kwani wengi wao awapendezwi na aina ya utawala anaoendelea nao kwa sasa ndani ya chama na Taifa.

Ni hayo tu nimeona niwashirikishe....!!
Ndoto ilitokea 2017, lakini alikufa 2021, hivyo hakupigwa chini, Bali kifo na ni Baada ya uchaguzi. Hivyo alienda muhula wa pili
 
Back
Top Bottom