Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ukiwa umefulia Minuno yao mibaya hawa viumbe.Muulize acc ya huyo jamaa ina shingap.
Kama ingekuo ina 4700Tsh wasingecheza hivo
Kwa wale wasiojua, huyo ni INSIDER MAN na Irene DartonIla ndo hivyo mnapata watu walio serious kama vile nyie tuu ndio mnajenga nchi
View attachment 2922956
😅😅😅😅 hahahahaMuulize acc ya huyo jamaa ina shingap.
Kama ingekuo ina 4700Tsh wasingecheza hivo
Hayasaidii na hayana fuata chuma utageMalalamiko hayasaidii na hayana nafasi kazi ni moja tu fuata chuma
ni content creator hao nadhantatizo ni waigizaji ndio maana wamechukuliwa video, uhalisia haupo hivyo kamwe
Cheka tu pisikali😅😅😅😅 hahahaha
Ila ndo hivyo mnapata watu walio serious kama vile nyie tuu ndio mnajenga nchi
View attachment 2922956
Bado sijajua ndio akina nani hao jamaaKwa wale wasiojua, huyo ni INSIDER MAN na Irene Darton
Noma sanaUkiwa umefulia Minuno yao mibaya hawa viumbe.
Utawajua tu mkuuBado sijajua ndio akina nani hao jamaa
Sijui kugugo niambie wewe uliyewajua mpaka majina, wakati mimi nimeona ni wazungu tuUtawajua tu mkuu
Sijui kugugo niambie wewe uliyewajua mpaka majina, wakati mimi nimeona ni wazungu tu
Hayo ni maigizo mkuu, shida yetu wabongo hasa wadada huchanganya maigizo na maisha halisi. Kuna mambo unaweza yaona mtandaoni yanapendeza macho sana ila sio uhalisia wa maisha, ni scrip tu mkuu. Hapo nduo wadada wengi hupotea kutaka kupata watu wa kwenye maigizoIla ndo hivyo mnapata watu walio serious kama vile nyie tuu ndio mnajenga nchi
View attachment 2922956