Ndoto ya kila couple ni kuwa na mapenzi yenye utani kama hawa ila ndio hivyo mnapata watu serious!

Ndoto ya kila couple ni kuwa na mapenzi yenye utani kama hawa ila ndio hivyo mnapata watu serious!

Kwan unashindwa nini wewe na mtu wako kufanyiana hayo mambo?
 
Kwanza unaanzaje kucheza na huna uhakika wa kula,chumba kimoja kama stoo unarumsha mwenzio anaangukia sufuria la mchuzi unamwagika mnalala njaa[emoji3][emoji3]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom